Kipi kimezikumba hizi biashara za hawa macelebrity

Ndiyo waache kuunga juhudi kizembe madhara yake ndiyo haya......

Hivi Flaviana Matata nae hana biashara bongo kweli?

Na yule secondlady wa Kisarawe hana biashara kweli??
 
sahihi kabisa mkuu.
 
Mo Pamoja na kuimiliki Simba uwezi kumkuta akiongelea vibaya Yanga ana jijua yeye ni mfanya biashara watu wana weza kumsusia biashara zake..Sasa huyu ndugu yetu ye hajui..
Hahahaha, anaweka ushabiki mbele na unazi anasahau Biashara yake
 
Wanasemaga funika kombe mwanaharamu apite.
Wakubwa mnaelewa hizi biashara na madhumuni yake.
Hakuna cha strategy,marketing wala nini?!
Fungueni macho wandugu.
 
Umesema huyo aliyemchagua Manara kupromote bidhaa yake ndiye mwenye matatizo......Manara na perfume wapi na wapi?!!!
 
Lawama zote kwa John
 
Yule wa kisarawe alikuwa na business ya nywele sijui hata iliishia wap baada ya kupata u dc
Ndiyo waache kuunga juhudi kizembe madhara yake ndiyo haya......

Hivi Flaviana Matata nae hana biashara bongo kweli?

Na yule secondlady wa Kisarawe hana biashara kweli??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]yule mwingine akasema naidhamini timu kwa mil40 kupitia kinywaji changu. mwisho wa siku akageuka mcheza mpira wa hiyo timu.

Ama kweli biashara sio kwa kila mtu.
alicheza hata mechi ya kujipima nguvu???
 
Maisha haya si unaona watu wote wanapenda kuwa "natural"yani hatupendi kabisa pafume sio nzuri kwa afya na zinaleta unene!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
alikiba mo faya anaziuza kwa mastar tu masikini hamuwezi kuuziwa
 
Ila karanga bado zipo mkuu
 
Bdozen kilichomfikisha hapo ni promo za clouds na kupewa support na wasanii kwa kuamini atawabeba kwenye kipindi,na yeye asingefika kokote.
 
Diamond mbona ujamuweka au mpaka uwone physical product business na Jux yupo wapi, Diamond ndio mfanyabiashara wakwanza kwa wasanii WCB, Wasafi TV fanya research kwenye hizo kampuni.
 
Huyu msukuma kajua kutukomesha sio kwa wasanii tu hao huki mtaani watu tumeshafanya biashara aina kama zote yani na zote ni hola
Kuwa mbunifu jifunze uganga utatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…