ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,282
- 4,251
Kila binadamu apa duniani ana kitu au jambo ambalo akilifanya, akilipata ama kulifikia basi anajihisi na kuona kuwa siku yake imekamilika.
Na kila binadamu, mwanadamu ana jambo ama kitu ambacho akikikosa ama kutokukifanya au kutokukifikia basi moja kwa moja hujihisi kuwa siku yake haijakamilika haija timia ama haijaenda sawa kama ambavyo yeye angetamani.
Mimi binafsi hujihisi siku yangu imekamiliaka, imetimia , ama imefanikiwa pale ninapokuwa nimeingiza pesa, ela nyingi yaani nikipata mkwanja shilingi, nyingi ata kama ni asubuhi saa moja basi hujihisi kuwa siku yangu imetimia imekamilika yaani hujihisi kuwa siku hangu imefana sana.
Karibu na wewe utwambie ni jambo ,kitu gani ambacho hukamilisha siku yako au kutokumilisha siku yako!
Na kila binadamu, mwanadamu ana jambo ama kitu ambacho akikikosa ama kutokukifanya au kutokukifikia basi moja kwa moja hujihisi kuwa siku yake haijakamilika haija timia ama haijaenda sawa kama ambavyo yeye angetamani.
Mimi binafsi hujihisi siku yangu imekamiliaka, imetimia , ama imefanikiwa pale ninapokuwa nimeingiza pesa, ela nyingi yaani nikipata mkwanja shilingi, nyingi ata kama ni asubuhi saa moja basi hujihisi kuwa siku yangu imetimia imekamilika yaani hujihisi kuwa siku hangu imefana sana.
Karibu na wewe utwambie ni jambo ,kitu gani ambacho hukamilisha siku yako au kutokumilisha siku yako!