X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Wewe ni noumaaaaa sanani mafunzo ya Cuba niliyoyapata mwaka 1976 😂
Kuchangamsha bure bure tu,, wanachangamsha viuno na hela wanatoa shughuli za wanawake wa mjini tunazijua lengo kuu ni kupata pesa na madanga, kwenye pesa hapo ukiwaalika mashoga watakupa za kutosha, wanajiona kupendwa na kuthaminiwa lazima wahakikishe lengo lako limefanikiwaWanawake wananufaika sana, lakini pia kila mmoja ananufaika na mwenzake (symbiotic relationship).
Masherehe yote lazima wanawake wawaalike mashoga kuchangamsha na kuleta oya oya.
Mauno ya paka-chongo yatakatwa pale, kwenye harusi na vigodoro, japo matako hawana lakini watayabinua ipasavyo.
😂😂😂😂😂😂 Kinyeo kimekusubiri hadi kimechacha hautokei 😂Na hiyo pia ilikuwa id yangu...siku hizi nimekuwa ila kinyeo chako Bado sijakunasa unakikimbiza kimbiza😂😂😂
Nafikiri pia urafiki wao huchangiwa pia naWanawake wananufaika sana, lakini pia kila mmoja ananufaika na mwenzake (symbiotic relationship).
Masherehe yote lazima wanawake wawaalike mashoga kuchangamsha na kuleta oya oya.
Mauno ya paka-chongo yatakatwa pale, kwenye harusi na vigodoro, japo matako hawana lakini watayabinua ipasavyo.
Hahaaaaaaa unanichekesha alwaysMimi ni shangazi sio DUME.
Shika adabu yako. Naomba uniajiri kwenye kiwanda chako cha cherehani.
Cc: Lamomy
You sound the same as someone nimemmiss sana in here Mr. zillahMimi kwa tabia sina marafiki, ama wa kiume ama wa kike. Sina hata mmoja.
Lakini naweza kuwaza kwamba wanawake (baadhi) wanawapenda mashoga kwa sababu wanafanana kimaslahi (interests???)
Wako na mambo yanayofanana kimahusiano, kitabia, kufanyiana urembo, kusukana, kupodoana nk. Kwahiyo ni kama ndege wenye manyoya yanayofanana kuruka pamoja.
Pili, mashoga wanachekesha na wana vituko ambavyo vinawafurahisha wanawake. Unajua wanawake wanapenda kuchekeshwa chekeshwa tu hovyo na kukenua kwa furaha muda wote.
Unakuta shoga anakata UNO LA SOTOJO huku kabinua tako sentimeta tano na nusu, lazima madem wadate na kukenua. Hapo ndo wanaanza kugandana na kuwa mashosti.
Wanawake wanapenda sana vituko, ukiwafurahisha wanakuganda.
Uno mama. Uno la sotojo na vituko vinginee shwaaaa....
Cc: min -me Poor Brain cocastic Depal
[emoji1635]Naona kabla ya kuwalaumu wanawake kwanza ,wanaume tungegoma kuwatumia hawa ,hiyo hukla yao ya kuwa hivyo ingekufa ni sawa na biashara kukosa wateja lazima ife tu.
Hata sijasomea basi tu ukitafakari jamii tuliyomo ni km mambo yanaenda kinyume nyume, tabia za mwanaume na mwanamke zinajulikana ni rahisi kubashiri nini kinapelekea urafiki wa karibu kati ya shoga na mwanamkeKapeace umesomea hivyo vitu? Maana unavyoelezea ki expert kabisa.
Wanaheshimika? Kivipi?Wanajitoa sana kwenye shughuli za watu, hivo wanakua na access ya wadada wengi haswa wa mjini. Na pia wanaheshimika.
Wanaheshimika na wanawake hawana ubaya nao. Ukiwa kariibu ya shoga utaelewaWanaheshimika? Kivipi?
Mashoga wanakuaga na urafiki wa kweli kwa wanawake ,,, Hawasinichiani kama wanawake kwa wanawakeInasikitisha sana wanawake ndio mama zetu wanatubeba tumboni miezi 9 lakini kuna sikielewi na kinanishangaza sana kwenye shughuri za dada zetu imezuka tabia ya kualika mashoga na inaonekana mashoga na wanawake picha zinakwenda sana.
Sasa swali langu ni kitu gani kinachowavutia? Na je mtoto wako akiwa hivyo utafurahi kama unavyofurahia kwa mtoto wa mwanamke mwenzako?
acha chuki kijana!!We kama ni shoga mnatakiwa muuawe wote, shenzi nyie
Salute kwako wa kwetu...Naona kabla ya kuwalaumu wanawake kwanza ,wanaume tungegoma kuwatumia hawa ,hiyo hukla yao ya kuwa hivyo ingekufa ni sawa na biashara kukosa wateja lazima ife tu.
hyo ngumuNaona kabla ya kuwalaumu wanawake kwanza ,wanaume tungegoma kuwatumia hawa ,hiyo hukla yao ya kuwa hivyo ingekufa ni sawa na biashara kukosa wateja lazima ife tu.