Bora ahamie Avril tu peke yake
lawmaina78 na wakenya wengine pale nairobi wangechomana visu kwenye kumbi za starehe kugombania dada zetu wa kibongo.acha tu,watoto wa kike wa ktz warembo bhana.jioni ya week end moja tembelea maeneo ya mlimani city kusafisha macho.i bet you wont regret to be there.utapacha picha kamili ya urembo wa wasichana wa kitz.
halafu jambo la kustaajabisha,wasichana wa kikenya hupagawa sana vijana wa kibongo.wenyewe husema wanavutiwa sana kiswahili chetu,ucheshi na mapenzi matamu.
mkuu kenya hakuna warembo,yaani wamekaa sura ya goti
bora na wewe umeona,always utafikiri wanakata gogo.
lawmaina78 na wakenya wengine pale nairobi wangechomana visu kwenye kumbi za starehe kugombania dada zetu wa kibongo.acha tu,watoto wa kike wa ktz warembo bhana.jioni ya week end moja tembelea maeneo ya mlimani city kusafisha macho.i bet you wont regret to be there.utapacha picha kamili ya urembo wa wasichana wa kitz.
halafu jambo la kustaajabisha,wasichana wa kikenya hupagawa sana vijana wa kibongo.wenyewe husema wanavutiwa sana kiswahili chetu,ucheshi na mapenzi matamu.
Habari za jioni wanajamiiforums wenzangu?!! Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikijiuliza hivi ingekuwaje kama wasichana wa kibongo (TZ) wote wangehamishiwa kwa jirani zetu Kenya na hao wasichana wa huko Kenya tungeletewa huku Bongo hivi ni kipi kingetokea?!!! Tungeweza kweli kuwa-handle wa Kenya kwa ukorofi wa kupiga hadi waume zao?!!!
Watoto wa Kikenya tisha, acha weee!!! ila mimi huwa sibagui wanawake kama nyie, na ndio maana mko wadhaifu
wakenya waje bongo????? ntahamia kenya
Ila akitokea mzuri anakuwa mzuri kweli ebu mcheck hudda,avirl
Mbaya mbona?? Hata kwa Uwoya haingii kwa nusu