Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
kama hawa ndo warembo basi dunia imeishaHhhaaaaa jamani ni wabayaa sio siriii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hawa ndo warembo basi dunia imeishaHhhaaaaa jamani ni wabayaa sio siriii
kama hawa ndo warembo basi dunia imeisha
bora na wewe umeona,always utafikiri wanakata gogo.
Kibaya zaidi ni kuwa wanaweza kukupiga, maana huko Central nasikia wanaume wanapigwa ile mbaya.
nimewahi kuishi nairobi aisee wasichana ni wabaya sijawahi ona.
Haahahahahahaha true say mkuuewaaaa.angalau huyo peke yake.nadhani avril ni kikuyu.na mwanamke mrembo kenya ni mkikuyu na mkamba kidogo na wanaweka toka mombasani.
makabila mengine hovyo kabisa.mluya,mjaluo,mkisii,mkalenjin hovyo kabisa.wamejaliwa maumbile makubwa tu ila sura na shape hamna kitu.halafu they are too dark skinned.
labla kipande cha mombasa ndiyo kuna watoto wazuri! kwani nauli ya kutoka tz hadi kenya ni Tsh ngapi?
Nilishawahi kudate na mkenya, hahahahaha
Hawa mademu ni wanatisha aisee
Sura mbaya kama beberu wa supu
Kuna yule manzi askari aliyevaa uniform juu ya goti, hadi mtukufu Uhuru Kenyata alipata shock, naye ni mzuri. Mwenye ile picha atuwekee.
Habari za jioni wanajamiiforums wenzangu?!! Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikijiuliza hivi ingekuwaje kama wasichana wa kibongo (TZ) wote wangehamishiwa kwa jirani zetu Kenya na hao wasichana wa huko Kenya tungeletewa huku Bongo hivi ni kipi kingetokea?!!! Tungeweza kweli kuwa-handle wa Kenya kwa ukorofi wa kupiga hadi waume zao?!!!
Halafu sio urembo, pia na akili, wa kwanza kushusha Dreamliner Africa yote
![]()
naona hawa wakenya ni sura mbaya kweli!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Halafu wewe mrembo wa Kibongo naona hujakumbana na mizuka ya Kikenya, nakuhakikishia utapenda, hamna chips mayai, nipe tu anwani.
![]()
Bidii, elimu na urembo...
![]()
Nitaweka, kwani iko nini.... watoto wenye bidii na bado wazuri tu mbona.
![]()
ila uzuri wake binti wa kenya wana iq za juu sana sio kama wetu huku lol