Kipi kingetokea: Wasichana wote wa Bongo wahamie Kenya na wa Kenya waje kwetu Tanzania

Kipi kingetokea: Wasichana wote wa Bongo wahamie Kenya na wa Kenya waje kwetu Tanzania

Na mimi ningekua nishahamia Nakuru/Naivasha siku nyiiingi. Toka hio hio 2014 yako mkuu
 
Mtukome na hatutaki mazoea kuzoeana..
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
mkuu kenya hakuna warembo,yaani wamekaa sura ya goti
 
Wanaume wa Tz mnavyojidai kwa michepuko mngechukua mikwaju ya kutosha kila siku mtu anaamka na manundu nundu wanawake wa Kenya si wamchezo mchezo kwa ngumi hawajambo
 
lawmaina78 na wakenya wengine pale nairobi wangechomana visu kwenye kumbi za starehe kugombania dada zetu wa kibongo.acha tu,watoto wa kike wa ktz warembo bhana.jioni ya week end moja tembelea maeneo ya mlimani city kusafisha macho.i bet you wont regret to be there.utapacha picha kamili ya urembo wa wasichana wa kitz.

halafu jambo la kustaajabisha,wasichana wa kikenya hupagawa sana vijana wa kibongo.wenyewe husema wanavutiwa sana kiswahili chetu,ucheshi na mapenzi matamu.
Ila wanachukia Umariooo wetu. Kazi hatutaki tunaendekeza mapenzi
 
Wanaume wa Kitanzania mlivyo wavivu mngechezea kichapo kila siku kutoka kwa wanawake wa Kikenya..lol
Labda Wadarisalade,,ila sisi Wachuga ni kwerekweche,manzi haezi niletea wengeree namgeuza neti asee!!
 
Alaf mnajadilije kitu ambacho hakiwezi tokea asee??ila Kenya waje Avril,Huddah,Tanasha,Marya,Victoria Kimani,,,,Hivi nyie mnamjua Victoria Kimani Nick Minaj wa Africa?? Aje Kimani asee
 
Back
Top Bottom