brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Hivi kipindi gani ni kizuri zaidi kati ya friday night live kinachoendeshwa na Sam Misago na Ommy Crazy wa EATV au D'Wikend chat show kinachoongozwa na Soudy Brown na QWhiser wa Clouds tv??
Maana daah ikifika ijumaa nashindwa niangalie wapi maana kote napa kubali
Wewe je karata yako unaitupia wapi, FNL au D'Weekend chat show?
Maana daah ikifika ijumaa nashindwa niangalie wapi maana kote napa kubali
Wewe je karata yako unaitupia wapi, FNL au D'Weekend chat show?