Kipi kitatokea ikiwa mwanamke atatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume..?

Kipi kitatokea ikiwa mwanamke atatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume..?

habari zenu wandugu..?
niende kwenye mada

binafsi naomba kufahamu ni kitu gani kitatokea endapo msichana/mwanamke atatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambazo zimewekwa maalum kwa ajili ya kumsaidia mwanaume..?

nb:kila mtu anafahamu hizi dawa ni kwa ajili ya mwanaume lakini em tuchukulie ni mwanamke ndo akazitumia, kipi kitatokea badae...
dyu
 
habari zenu wandugu..?
niende kwenye mada

binafsi naomba kufahamu ni kitu gani kitatokea endapo msichana/mwanamke atatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambazo zimewekwa maalum kwa ajili ya kumsaidia mwanaume..?

nb:kila mtu anafahamu hizi dawa ni kwa ajili ya mwanaume lakini em tuchukulie ni mwanamke ndo akazitumia, kipi kitatokea badae...
Simple tu,,,,Antenna ile itasimama
 
Atakuwa na uwezo wa kukatikia mpini hata feni isione ndani. Hapo ndipo mwanaume kama hujashiba vizuri unaweza lia Meee kama mbuzi!
 
Zaman kuna wadada tulikua tunaenda kukata nao majani huko vijijini,siku moja wakala ile miziz ambayo tunaiita mikongora, ndio hali hiyo ikajitokeza


Zamani sana
Ina kazi gani hiyo mizizi?

Nini kiliwatokea?
 
habari zenu wandugu..?
niende kwenye mada

binafsi naomba kufahamu ni kitu gani kitatokea endapo msichana/mwanamke atatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambazo zimewekwa maalum kwa ajili ya kumsaidia mwanaume..?

nb:kila mtu anafahamu hizi dawa ni kwa ajili ya mwanaume lakini em tuchukulie ni mwanamke ndo akazitumia, kipi kitatokea badae...
Ni dawa kwa wenye matatizo ya moyo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkongoraa umenikumbusha shule advance kuna vijana walikuwa wanakula hiyo kama chakula
 
Back
Top Bottom