Nguvu za kiume ni zipi hapa ..
Kuweza kupeleka moto kweli kweli ,kifuani Kwa mwanaume saa nzima unapush dushe ndani ...lakin low sperm count ,hauwezi kutunga Mimba ....hii hata kama unapesa utakimbiwa tu ....
Kusimamisha na kumiliki tendo ndani ya dakika mbili chaliii ...lakin mbegu nzito zenye rutuba na kutengeneza ujauzito ......hii kama unapesa utavumiliwa na mke ataishi ,na hata kama Hauna pesa kuna aina ya wanawake ambao hawajaharibiwa na mitandao na kuangalia movie za ngono sijui kufukishana kilelen atavumilia ,hasa watu WA kijijini hawana muda sijui kilelen ,ilimradi umempa ujauzito ,Hawa WA mjini kutwa kutumia matoy ,tango kujiingiza ndio hutawaweza ..............
Kusimamisha lege lege ,na kushindwa kufanya tendo kabisa ....hii ndio hatarii .....hapa hata uwe na pesa ,ndoa itakuwa ngumu
Kushindwa kusimamisha kabisa .....hii ndio kwisha kabisa ,hata uwe na pesa Hakuna mwanamke atakuvumulia ,usipokuwa na pesa ndio kabisa utaona Kila Rangi ya dunia ....