Kipi ndio bora Kati ya kuoa kwanza ndio utafute maisha ama uweke Mambo yako sawa kwanza ndo uoe?

Kipi ndio bora Kati ya kuoa kwanza ndio utafute maisha ama uweke Mambo yako sawa kwanza ndo uoe?

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
8,611
Reaction score
16,118
Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao.

Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima utengeneze Mambo yako hasa ya kiuchumi ndo uvute mwanamke ndani na wapo wengine ambao wanaamini kijana anatakiwa aoe Kama bado anayumba kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja.

Sasa wakuu Kati ya hayo Mambo mawili hivi nyie mnaona kipi ndo Bora zaidi kuliko kingine Je,kijana atengeneze uchumi wake kwanza ndo ake ama aoe ru hata Kama hayupo sawa kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja na mkewe?

Tujadiliane kuhusu hili.
 
Mkuu maisha ni wewe unaivyoishi kila siku ukipata mtu sahihi oa hata sasa hakuna siku utakayo yapatia maisha ior destiny ni kifo no matter what we are looking for tutaviacha don't do to impress people even if we need them, find a purpose of what you breath every day, money is temporarily although is basic part of survival.
 
Mkuu maisha ni wewe unaivyoishi kila siku ukipata mtu sahihi oa hata sasa hakuna siku utakayo yapatia maisha ior destiny ni kifo no matter what we are looking for tutaviacha don't do to impress people even if we need them, find a purpose of what you breath every day, money is temporarily although is basic part of survival.
Ahsante Sana mkuu kwa ujumbe wako mzuri
 
Kuna Yale mambo ya muhimu Kwa mfano,ukiweza kumhudumia mke Kwa chakula ,mavazi na makazi/sehemu ya kuishi,yatosha na waeza oa,mambo mengine yatakuja mkiwa pamoja.

Tatizo vijana wengi wanataka mpaka bank account iwe na mamilioni,ndinga Kali na Fujo kibao nah! Ukiwaza hayo hutaoa ng'o!
 
Kuna watu wanatamani wafanikiwe ndiyo waoe, wakati Mungu anataka waoe ndiyo wafanikiwe. Shughuli inaanzia hapa...ila busara inatutaka tumtangulize Mungu ili atufunulie mipango yake maishani mwetu.

Biblia Takatifu inasema, apataye mke apata kitu chema na atapata kibali machoni pa Bwana. Kuna neno KIBALI; ambalo huwa linanitafakarisha sana. KIBALI ni kama BARAKA flani hivi kwenye kila jambo utakalolifanya.

All in all, Mungu akawe msaada wetu na kamwe tusitumie akili zetu wenyewe. Amen!
 
ukiwa hauna hela yani pangu pakavu kwa kiasi kikubwa wanawake wanakuwa wanakukwepa ni ngumu Sana na ndio kipindi ambacho vijana huwa tunatamani kuoa ukipata mwanamke au marafiki kipindi hauna hela hujue umefanikiwa Sana labda uamue kuchukua mwanamke bora mradi siku ziende
 
Vijana niwambieni hakuna raha kuoa kipindi ambacho bado unaunga unga maisha raha ipoje ili hivi

Mmepanga chumba kimoja tu una kitanda, radio yako, sufuria jiko lako la mkaa mkeo ana zamu za kufagia uwanja kudeki chooni Tv hamna wala nini raha inaaanza hapa unapambqnq unanunua kitv chako siku unaleta home wife anafurahi uyo siku hiyo anakupa yote ile furaha mara mimba

Kwakua wife ana mimba unapambana mnahama nyumba mnapanga chumba na sebule mnakaa wife anajifunguq, mnaanza kulea uku unapambana na maisha mara umenunu sofa/kochi unaleta home wife anafurahi anakupa yote mara mimba tena dah familia inakuwa unawaza kupata kiwanja mjenge unapambana mara kakiwanja wife anafurahi anakupa yote kwakua mmepanga mna watoto wawili unaogopa mpa mimba mnakomaa na ujenzi wa chumba na sebule mara hao mmehamia kwenu hapo sasa wife anafurahi kuwa kwakwe japo chumba na sebule hapo michongo ndio inafungukaga balaa mara msingi wa nyumba kubwa ujio unapambana majengo unaisha finishing inakamilika vile vitu ulivyoanzia masoga unashangaa vinakaa store uko unavuta feniture za maaana mara gari kali maisha yanabadilika inakuwa wakishua

NB
Kipindi hayo yote yanatokea kuzinguana kupo tena sana kikubwa uvumilivu tu nakujua maisha yanataka nini na hata ukimuacha huyo binadamu ni binadamu tu mashairi yako so vijana msiogope maisha
 
Kwa mtazamo wangu, tatizo sio LINI, tatizo ni NANI (unamuoa nani).

Unaweza ukaweka mambo Sawa weeeeee ukioa tu (wrong one) ukaanza kuparanganyika na kurudi 0.

Na unaweza ukaoa ukiwa bado unaparanganyika lakini ukioa na kupata mtoto ukaona njia inafunguka
 
Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao.

Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima utengeneze Mambo yako hasa ya kiuchumi ndo uvute mwanamke ndani na wapo wengine ambao wanaamini kijana anatakiwa aoe Kama bado anayumba kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja.

Sasa wakuu Kati ya hayo Mambo mawili hivi nyie mnaona kipi ndo Bora zaidi kuliko kingine Je,kijana atengeneze uchumi wake kwanza ndo ake ama aoe ru hata Kama hayupo sawa kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja na mkewe?

Tujadiliane kuhusu hili.
Bora kumpata mnayependana. Mahusiano matamu huendeshwa na UPENDO kazi ya pesa ni kuendesha MAISHA tu,uwe kwenye mahusiano usiwe kwenye mahusiano utahitaji pesa. Ndio maana ukiwa na pesa ukimpata mtu hutojua kama kakupenda wewe au pesa zako.
 
Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao.

Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima utengeneze Mambo yako hasa ya kiuchumi ndo uvute mwanamke ndani na wapo wengine ambao wanaamini kijana anatakiwa aoe Kama bado anayumba kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja.

Sasa wakuu Kati ya hayo Mambo mawili hivi nyie mnaona kipi ndo Bora zaidi kuliko kingine Je,kijana atengeneze uchumi wake kwanza ndo ake ama aoe ru hata Kama hayupo sawa kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja na mkewe?

Tujadiliane kuhusu hili.
KWA UZOEFU WANGU, ni bora kujipanga vizuri kabla ya kuoa...
 
Cha kwanza uwe na kipato cha uhakika (kazi au biashara). Ukishakua na kipato suala la kuoa ni wewe tu uamue.
 
Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao.

Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima utengeneze Mambo yako hasa ya kiuchumi ndo uvute mwanamke ndani na wapo wengine ambao wanaamini kijana anatakiwa aoe Kama bado anayumba kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja.

Sasa wakuu Kati ya hayo Mambo mawili hivi nyie mnaona kipi ndo Bora zaidi kuliko kingine Je,kijana atengeneze uchumi wake kwanza ndo ake ama aoe ru hata Kama hayupo sawa kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja na mkewe?

Tujadiliane kuhusu hili.
Yani mi ntafute afu ye aje tu apige bata[emoji41][emoji848][emoji119][emoji109]
 
Back
Top Bottom