Kipi ndio bora Kati ya kuoa kwanza ndio utafute maisha ama uweke Mambo yako sawa kwanza ndo uoe?

Kipi ndio bora Kati ya kuoa kwanza ndio utafute maisha ama uweke Mambo yako sawa kwanza ndo uoe?

Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao.

Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima utengeneze Mambo yako hasa ya kiuchumi ndo uvute mwanamke ndani na wapo wengine ambao wanaamini kijana anatakiwa aoe Kama bado anayumba kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja.

Sasa wakuu Kati ya hayo Mambo mawili hivi nyie mnaona kipi ndo Bora zaidi kuliko kingine Je,kijana atengeneze uchumi wake kwanza ndo ake ama aoe ru hata Kama hayupo sawa kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja na mkewe?

Tujadiliane kuhusu hili.
Jipange kwanza kimaisha ndipo uoe, kinyume chake ni kukaribisha kudharauliwa na mke wako.

Vinginevyo kama bado mambo ya uchumi hayajakaa sawa, tafuta tu mchumba ila siyo mke.. utamwoa baada ya kufanikiwa naye
 
Nahisi ndo maana ndoa nyingi hazidumu ni kwa sababu ya mambo haya!

Wanawake wanaangalia biological clock kwamba, nikifika umri fulani naolewa, nikifika wakati fulani naolewa!

Wanaume nao wanaangalia financial clock kwamba, nikiwa na pesa kiasi fulani naoa. Nikinunua kitu fulani naoa!

hapa kati kati kabla hzo vitu vyao havijatimia hawawezi kuoa hata kama ni mtu sahihi.

Oa ukimpata mtu sahihi!
 
Nahisi ndo maana ndoa nyingi hazidumu ni kwa sababu ya mambo haya!

Wanawake wanaangalia biological clock kwamba, nikifika umri fulani naolewa, nikifika wakati fulani naolewa!

Wanaume nao wanaangalia financial clock kwamba, nikiwa na pesa kiasi fulani naoa. Nikinunua kitu fulani naoa!

hapa kati kati kabla hzo vitu vyao havijatimia hawawezi kuoa hata kama ni mtu sahihi.

Oa ukimpata mtu sahihi!
Nimekupata
 
Bora kutokuoa kabisa... Zalisha tu basi timiza kuhudumia watoto maisha yanaenda... 70% ya wanaume walio oa wamefeli kimaisha... 99% ya wanawake walio olewa wamefeli maisha...
 
Bora kutokuoa kabisa... Zalisha tu basi timiza kuhudumia watoto maisha yanaenda... 70% ya wanaume walio oa wamefeli kimaisha... 99% ya wanawake walio olewa wamefeli maisha...
Hizi takwimu ni za kimataifa, kitaifa, kimkoa, kiwilaya au umezipataje?
 
Aisee!🤔
Kuna Yale mambo ya muhimu Kwa mfano,ukiweza kumhudumia mke Kwa chakula ,mavazi na makazi/sehemu ya kuishi,yatosha na waeza oa,mambo mengine yatakuja mkiwa pamoja.

Tatizo vijana wengi wanataka mpaka bank account iwe na mamilioni,ndinga Kali na Fujo kibao nah! Ukiwaza hayo hutaoa ng'o!
 
Haujaona kilichomkuta bwana Emmanuel Jerome?! Alitaka kumuoa Bi Lucy Mshone ili waishi pamoja na kujenga maisha lakini balaa alilopitia limeishia na kifo.

Hiyo nguvu ya kupambana na ndoa ni bora kupambana na maisha utapata reward mwisho wa siku kuliko ukapambana na vituko vya mke au mwanamke ambaye hajaridhika na maisha ya kutafuta.
 
Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao.

Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima utengeneze Mambo yako hasa ya kiuchumi ndo uvute mwanamke ndani na wapo wengine ambao wanaamini kijana anatakiwa aoe Kama bado anayumba kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja.

Sasa wakuu Kati ya hayo Mambo mawili hivi nyie mnaona kipi ndo Bora zaidi kuliko kingine Je,kijana atengeneze uchumi wake kwanza ndo ake ama aoe ru hata Kama hayupo sawa kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja na mkewe?

Tujadiliane kuhusu hili.
Hakuna formulae moja katika kutengeneza maisha yako mkuu. Kuna mtoto kapelekwa marekani baada ya muda amerudi na mke na watoto ila mwingine kaenda huko huko karudi shoga. Maisha ni kuchagua kile unachoamini ni sahihi kwako ili usije kuwa na majuto.
Mimi ukiniuliza nioe katika umri gani nitakakwambia at 30s sababu mimi ndio umri tayari starehe za ujana almost nimemaliza nimebakiza kwenda karaoke au kusafiri na mrembo wangu😊😊
 
Kuna watu wanatamani wafanikiwe ndiyo waoe, wakati Mungu anataka waoe ndiyo wafanikiwe. Shughuli inaanzia hapa...ila busara inatutaka tumtangulize Mungu ili atufunulie mipango yake maishani mwetu.

Biblia Takatifu inasema, apataye mke apata kitu chema na atapata kibali machoni pa Bwana. Kuna neno KIBALI; ambalo huwa linanitafakarisha sana. KIBALI ni kama BARAKA flani hivi kwenye kila jambo utakalolifanya.

All in all, Mungu akawe msaada wetu na kamwe tusitumie akili zetu wenyewe. Amen!
ACha upuuzi wewe tafuta hela
 
Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao.

Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima utengeneze Mambo yako hasa ya kiuchumi ndo uvute mwanamke ndani na wapo wengine ambao wanaamini kijana anatakiwa aoe Kama bado anayumba kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja.

Sasa wakuu Kati ya hayo Mambo mawili hivi nyie mnaona kipi ndo Bora zaidi kuliko kingine Je,kijana atengeneze uchumi wake kwanza ndo ake ama aoe ru hata Kama hayupo sawa kiuchumi ili waweze kujijenga pamoja na mkewe?

Tujadiliane kuhusu hili.
Inategemea na mwanamke unaemuoa kama ni mvumilivu wa kuanza nae maisha,ana heshima,alafu kalelewa kwao maisha ya kienyeji 🤣.kama ana moyo huo wa kuvumilia na yeye anapambana,mambo yataenda.

Ila kama ndio hawa dada zetu wa siku hizi wanaoangalia kwanza income yako,gari unalo,utakuja kunyooka ,uchapiwe,akudharau 😆🤣

Bora uteseke ukiwa mwenyewe kwanza,kuliko kutaabika na mwanamke ndani.
 
Tafuta maisha
Kula bata
Jari afya
Ukiona nguvu zinaishia
OWA[emoji23]
 
Back
Top Bottom