Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukinunua ya zmani ni lazima teknolojia yake itakuwa ya zamani. Kuhusu sula la Prakatatumba abaabaabaa jibu ni inategemea. Jambo la muhimu ni kuangalia ipi ni genuine na yenye teknolojia bora na ya kisasa.TV za mtumba zinakunywa umeme hatari, sijajua kwa nini??
Kwa hiyo hela ya mtumba naona ni juuWakuu nimeenda duka moja la mitumba mkoani huku, nimepata TV ya mtumba Panasonic inch 32 mwenye nayo kanambia bei ya mwisho ni 410,000/=
At the same time nimepata TV mwanza inch 32 kampuni ni rising bei ni 280,000/=
Je uhakika wa hizi TV inch 32 wanaodai ni used from UK je ni sahii?
View attachment 2478327
View attachment 2478329
View attachment 2478332
Lakini pia kuna TV za alitop bei zake ni chiini saaana.
Naomba kueleweshwa hapo.
Mitumba mingine ni TV zilizoharibika au zenye hitilafu zinafanyiwa service ya kimagamu na kuwekwa sokoni.Chukua dukani...jamaa yangu alichukua mtumba hakumaliza nayo hata mwaka
Ongeza hela mpaka 500k ununue TV ya LG inch 32 (au samsung).Mkuu kwenye swala la TV sijui lolote lile, nategemea maoni hayo ili mwisho wa siku nijue nafanyaje. Bajeti yangu ni 400k na sijui nichukue TV gani mkuu,..
Ni kweli, unanunua ghali kumbe ni ya hovyoMitumba mingine ni TV zilizoharibika au zenye hitilafu zinafanyiwa service ya kimagamu na kuwekwa sokoni.
Nimekuelewa mkuuOngeza hela mpaka 500k ununue TV ya LG inch 32 (au samsung).
- Achana na huo mtumba upo outdated kiteknologia
- Achana na matv ya laki 2 ya kichina, hamna quality ya maana humo
Ongeza hela Nunua LG au Samsung, Period
chukua Hisense Smart 32" kuja juu, utanishukuruNimekuelewa mkuu
Nimeona nijipige pige niongeze hela nichukue hisense but hata isiyo smart naona ni uhakika tu. Kaka kuna mtu alinambia TV ni matunzo tu but kampuni ni mbwembwe je ni sahii?chukua Hisense Smart 32" kuja juu, utanishukuru
Nipo kibondo mkuuKuna mtumba nzuri na latest kuliko mpya za Aborder na mchina wenzake
Kwa bei hiyo laki 4 kuitoa zanzibar ni pesa nyingi sana mkuu bora ununue tu hiyo mpya hapo hapo Mwanza.
Ungekuwa Dar ningekupa machimbo ya TV za mtumba kwa bei ndogo kuliko hizo za Zanzibar
Huko mbali mzee si unajua vitu vya mtumba ni kugamble ikizingua na upo karibu unairudisha kwa muuzajiNipo kibondo mkuu
brand inamatta, achana ujinga ujinga wa kina alitop sijui alibottom , chukua brand ya kueleweka, hutajutiaTV ni matunzo
Acha kumdanganya mwenzio ndugu yangu anauza hizo tv ulizozisifia hapa ila anadai zote ni sawa tu kuna anaenunua hizo Samsung akatumia miezi mitatu habari ikaisha na kuna anaenunua hizo oulling akakaa nayo zaidi ya miaka 4Ongeza hela mpaka 500k ununue TV ya LG inch 32 (au samsung).
- Achana na huo mtumba upo outdated kiteknologia
- Achana na matv ya laki 2 ya kichina, hamna quality ya maana humo
Ongeza hela Nunua LG au Samsung, Period
KUTOKEA ZANZIBAR NATOA USHAURI KAMA HIVI: nunua kitu kipya cha dukaniWakuu nimeenda duka moja la mitumba mkoani huku, nimepata TV ya mtumba Panasonic inch 32 mwenye nayo kanambia bei ya mwisho ni 410,000/=
At the same time nimepata TV mwanza inch 32 kampuni ni rising bei ni 280,000/=
Je uhakika wa hizi TV inch 32 wanaodai ni used from UK je ni sahii?
View attachment 2478327
View attachment 2478329
View attachment 2478332
Lakini pia kuna TV za alitop bei zake ni chiini saaana.
Naomba kueleweshwa hapo.
Wewe.acha uongo katika TV ni kampuni hizi tu Sony bravia,Samsung,LG,au kidogo Hisense zaidi ya hapo umeliwa na ukija Dar kuna maduka maalum uanauza og wengine wote ni copy hata kariakoo zimejaa copyAcha kumdanganya mwenzio ndugu yangu anauza hizo tv ulizozisifia hapa ila anadai zote ni sawa tu kuna anaenunua hizo Samsung akatumia miezi mitatu habari ikaisha na kuna anaenunua hizo oulling akakaa nayo zaidi ya miaka 4