Kipi ni bora? Tv za mtumba (kutoka zanzibari) au tv mpya ya dukani?

Kipi ni bora? Tv za mtumba (kutoka zanzibari) au tv mpya ya dukani?

Kwa hiyo hela ya mtumba naona ni juu
Kama unayo hela ya kununua hiyo ya mtumba mbona unapata TV nzuri tu mpya. Nenda dukani kanunue TV mpya ya Samsung kwenye Duka rasmi sio vichochoroni.
Ukipata Samsung OG Unaweza kukaa nayo hadi uamue kuibadilisha au niseme; alinunua babu hata mjukuu anaitumia
Samsung OG ambayo huuzwa kwenye maduka ya mawakala wa Sumsung bei yake siyo ya kitoto..
 
Acha kumdanganya mwenzio ndugu yangu anauza hizo tv ulizozisifia hapa ila anadai zote ni sawa tu kuna anaenunua hizo Samsung akatumia miezi mitatu habari ikaisha na kuna anaenunua hizo oulling akakaa nayo zaidi ya miaka 4
Sumsang unanunua Duka gani?
Kama unakwenda kwa agent wa kuuza hizo TV hakuna shida
 
Kwenye suala la picture quality, Inategemeana na resolution ya hiyo LG/Sony/Samsung, either ni 480p, 1080p(HD), 4k au 8k etc...

Na inategemea pia na technology ya kioo iliyotumia, either ni LCD, LED, Nanocell, Qled, OLED etc

Tv zina variable nyingi sana ambazo wengi ya watumiaji hawazijui.
Wape wape vidonge vyao leo
 
Soma jibu langu uelewe. Nimesema INATEGEMEANA na hizo factors nilizotaja(maana yake ni kwamba kufanana au kutofanana Kunategemeana na hizo sababu nilizotaja), ni nini usichoelewa?
Hawezi kukuelewa huyo anamawazo kama Manara
 
Soma jibu langu uelewe. Nimesema INATEGEMEANA na hizo factors nilizotaja(maana yake ni kwamba kufanana au kutofanana Kunategemeana na hizo sababu nilizotaja), ni nini usichoelewa?
Kwahiyo kumbe hazifanani? Nilikuuliza swali dogo ukaleta maelezo marefu mara hivi mara vile, sanahani wewe ni mkristo?
 
Kuna vitu basic sana watu hawavifahamu na vinaua sana vifaa vyetu majumbani,umeme kukatika katika nimojawapo ya hivyo vitu, umeme ukikatika wkt wakurudi km wiring haipo vzr hua unarudi unakua mwingi.
Hakikisha vifaa km friji,radio,TV vipo kwenye umeme msafi,nunua stabiliser itakusaidia sn,nunua guard kustabalize umeme ilikulinda vifaa vyako...umeme wa direct navifaa tajwa haviwezi dumu kamwe
 
Wakuu nimeenda duka moja la mitumba mkoani huku, nimepata TV ya mtumba Panasonic inch 32 mwenye nayo kanambia bei ya mwisho ni 410,000/=
At the same time nimepata TV mwanza inch 32 kampuni ni rising bei ni 280,000/=

Je uhakika wa hizi TV inch 32 wanaodai ni used from UK je ni sahii?

View attachment 2478327

View attachment 2478329

View attachment 2478332


Lakini pia kuna TV za alitop bei zake ni chiini saaana.

Naomba kueleweshwa hapo.
Mi nilibahatika kununua kitu cha Sony Bravia mtumba niliagiza kutoka Zanzibar ni hatari sana. Yaani unaweza kuiwasha siku kucha bila kuzima na wala haichemshi. Toka 2014 hadi leo wala haina tatizo lolote.
 
Mi nilibahatika kununua kitu cha Sony Bravia mtumba niliagiza kutoka Zanzibar ni hatari sana. Yaani unaweza kuiwasha siku kucha bila kuzima na wala haichemshi. Toka 2014 hadi leo wala haina tatizo lolote.
Nasikia zinakula sana umeme
 
Wakuu nimeenda duka moja la mitumba mkoani huku, nimepata TV ya mtumba Panasonic inch 32 mwenye nayo kanambia bei ya mwisho ni 410,000/=
At the same time nimepata TV mwanza inch 32 kampuni ni rising bei ni 280,000/=

Je uhakika wa hizi TV inch 32 wanaodai ni used from UK je ni sahii?

View attachment 2478327

View attachment 2478329

View attachment 2478332


Lakini pia kuna TV za alitop bei zake ni chiini saaana.

Naomba kueleweshwa hapo.
Mtu wa mtumba kula chuma iko
 
Back
Top Bottom