Samsung OG ambayo huuzwa kwenye maduka ya mawakala wa Sumsung bei yake siyo ya kitoto..Kwa hiyo hela ya mtumba naona ni juu
Kama unayo hela ya kununua hiyo ya mtumba mbona unapata TV nzuri tu mpya. Nenda dukani kanunue TV mpya ya Samsung kwenye Duka rasmi sio vichochoroni.
Ukipata Samsung OG Unaweza kukaa nayo hadi uamue kuibadilisha au niseme; alinunua babu hata mjukuu anaitumia
Nina friji nilinunua mtumba, huu sasa mwaka wa 10...Kitu cha uhakika ntumba ni nguo tu
Ni LED au ni ?Hii hapa alitop inch 32 haina kwere, gharama yake ni 250k na ni android
View attachment 2478610
Soma jibu langu uelewe. Nimesema INATEGEMEANA na hizo factors nilizotaja(maana yake ni kwamba kufanana au kutofanana Kunategemeana na hizo sababu nilizotaja), ni nini usichoelewa?Haujajibu nimekuuliza hizo aina za tv hizo picha zake zinafanana?
Sumsang unanunua Duka gani?Acha kumdanganya mwenzio ndugu yangu anauza hizo tv ulizozisifia hapa ila anadai zote ni sawa tu kuna anaenunua hizo Samsung akatumia miezi mitatu habari ikaisha na kuna anaenunua hizo oulling akakaa nayo zaidi ya miaka 4
SahihiWewe.acha uongo katika TV ni kampuni hizi tu Sony bravia,Samsung,LG,au kidogo Hisense zaidi ya hapo umeliwa na ukija Dar kuna maduka maalum uanauza og wengine wote ni copy hata kariakoo zimejaa copy
Wape wape vidonge vyao leoKwenye suala la picture quality, Inategemeana na resolution ya hiyo LG/Sony/Samsung, either ni 480p, 1080p(HD), 4k au 8k etc...
Na inategemea pia na technology ya kioo iliyotumia, either ni LCD, LED, Nanocell, Qled, OLED etc
Tv zina variable nyingi sana ambazo wengi ya watumiaji hawazijui.
Hawezi kukuelewa huyo anamawazo kama ManaraSoma jibu langu uelewe. Nimesema INATEGEMEANA na hizo factors nilizotaja(maana yake ni kwamba kufanana au kutofanana Kunategemeana na hizo sababu nilizotaja), ni nini usichoelewa?
Kwahiyo kumbe hazifanani? Nilikuuliza swali dogo ukaleta maelezo marefu mara hivi mara vile, sanahani wewe ni mkristo?Soma jibu langu uelewe. Nimesema INATEGEMEANA na hizo factors nilizotaja(maana yake ni kwamba kufanana au kutofanana Kunategemeana na hizo sababu nilizotaja), ni nini usichoelewa?
Wewe ndio una mawazo kama ya mwenzio babra?Hawezi kukuelewa huyo anamawazo kama Manara
Jikaze kuandika mwanamkeWape wape vidonge vyao leo
Hizi TV zina lifespan ikifika muda wake tu, haifai tenaNafaka mfano hiyo alitop nimeiona mtandaoni, sasa nashindwa kuelewa nifanye chaguzi gani
Mi nilibahatika kununua kitu cha Sony Bravia mtumba niliagiza kutoka Zanzibar ni hatari sana. Yaani unaweza kuiwasha siku kucha bila kuzima na wala haichemshi. Toka 2014 hadi leo wala haina tatizo lolote.Wakuu nimeenda duka moja la mitumba mkoani huku, nimepata TV ya mtumba Panasonic inch 32 mwenye nayo kanambia bei ya mwisho ni 410,000/=
At the same time nimepata TV mwanza inch 32 kampuni ni rising bei ni 280,000/=
Je uhakika wa hizi TV inch 32 wanaodai ni used from UK je ni sahii?
View attachment 2478327
View attachment 2478329
View attachment 2478332
Lakini pia kuna TV za alitop bei zake ni chiini saaana.
Naomba kueleweshwa hapo.
Nasikia zinakula sana umemeMi nilibahatika kununua kitu cha Sony Bravia mtumba niliagiza kutoka Zanzibar ni hatari sana. Yaani unaweza kuiwasha siku kucha bila kuzima na wala haichemshi. Toka 2014 hadi leo wala haina tatizo lolote.
Mtu wa mtumba kula chuma ikoWakuu nimeenda duka moja la mitumba mkoani huku, nimepata TV ya mtumba Panasonic inch 32 mwenye nayo kanambia bei ya mwisho ni 410,000/=
At the same time nimepata TV mwanza inch 32 kampuni ni rising bei ni 280,000/=
Je uhakika wa hizi TV inch 32 wanaodai ni used from UK je ni sahii?
View attachment 2478327
View attachment 2478329
View attachment 2478332
Lakini pia kuna TV za alitop bei zake ni chiini saaana.
Naomba kueleweshwa hapo.