Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Wakuu kwema?
Kuna kitu kinanitatiza muda mrefu panapohusu swala la mlo na mapishi.
Ukienda migawahawa ya ushuani au umangani ukiuliza kuna chakula gani watakuambia: Kuku, Mbuzi, beef, Samaki nk kisha unachagua escort " kama chips, ugali, wali nk..
Ukienda Uswahili ukiuliza chakula watakuambia: Ugali, Wali, Ndizi, viazi kisha utachagua mboga kama nyama, samaki, nk.
Naona hapa vitu vimekuwa vice versa, upi ni mlo sahihi universally?
Kuna kitu kinanitatiza muda mrefu panapohusu swala la mlo na mapishi.
Ukienda migawahawa ya ushuani au umangani ukiuliza kuna chakula gani watakuambia: Kuku, Mbuzi, beef, Samaki nk kisha unachagua escort " kama chips, ugali, wali nk..
Ukienda Uswahili ukiuliza chakula watakuambia: Ugali, Wali, Ndizi, viazi kisha utachagua mboga kama nyama, samaki, nk.
Naona hapa vitu vimekuwa vice versa, upi ni mlo sahihi universally?