1-Buffon
2-Cafu
3-R. Carlos
4-Desailly
5-Canavarro (Terry '60)
6-Viera (Makelele '45)
7-Pirlo (Seedorf '60)
8-Zidane
9-C. Ronaldo (Eto'o '45)
10-Ronaldinho
11-Messi
Refa: Pierluigi Collina
bila ubishi, dunia ilimtambua pale ila alikuwa anakamua sana na Villareal
Mkuu mm nilizani kwamba mdau a nataka upange kikosi cha wakali ndani ya miaka hii kumi 05-15,, asa he ndani ya miaka hii kumi..
Zidane alikuaje (cz kastaafu 06)
Beckham alikuaje!? (Nadhan alipwelepweta sana... Huwez kumcopare na CR7)
Dihno sawa lakini MESSI NI HATARI SANA anajua kila kitu kuhusu kandanda.. Hadi kudaka
Hahahahahah
1.Buffon
2.lahm
3.maldin
4.Terry
5.Ramos
6.vierra
7.c.ronaldo
8.zidane
9.ronaldo
10.messi
11.ronaldinho
Kikosi kibovu sana hata akina Alonso na Rooney wamo?!1.iker casillas
2. danny alves
3. Ashley cole
4.john terry
5. puyol
6. Xabi alonso
7. Cr7
8. Xavi
9.Thierry henry
10. Wayne rooney
11. Lionel messi
Kikosi kibovu sana hata akina Alonso na Rooney wamo?!
hao wachezaji wa kuja na kusepa kama harufu ya ushuzi mi huwa siwatambui...
kaja kamkuta Uncle Pirlo na kaondoka kamuacha
Kikosi kibovu sana hata akina Alonso na Rooney wamo?!
Kwa miaka 10 iliyopita kumekuwa na vipaji vingi ambavyo vimekuja na kutesa katika soka letu la dunia ya leo.
Kwa mtazamo wako wewe ukiwa kama mdau wa soka ni wachezaji gani bora zaidi ambao wanatengeneza first eleven yako kwa miaka 10 iliyopita.
Kwangu mimi kikosi changu bora ni hiki,
Mfumo ni 4-3-3 ambapo kuna;
Iker Casillas
Lahm, Vidic, Ramos, Ashley Cole
Xavi, Schweinsteiger, Iniesta
Messi, Ronaldo, Thiery Henry.
Karibu mdau tutajie kikosi chako pia.
Yule dihno wako hayumo ila messi ndni... Ila mbna kaka ako toress humkumbuki!?1.iker casillas
2. danny alves
3. Ashley cole
4.john terry
5. puyol
6. Xabi alonso
7. Cr7
8. Xavi
9.Thierry henry
10. Wayne rooney
11. Lionel messi
Kwa miaka 10 iliyopita kumekuwa na vipaji vingi ambavyo vimekuja na kutesa katika soka letu la dunia ya leo.
Kwa mtazamo wako wewe ukiwa kama mdau wa soka ni wachezaji gani bora zaidi ambao wanatengeneza first eleven yako kwa miaka 10 iliyopita.
Kwangu mimi kikosi changu bora ni hiki,
Mfumo ni 4-3-3 ambapo kuna;
Iker Casillas
Lahm, Vidic, Ramos, Ashley Cole
Xavi, Schweinsteiger, Iniesta
Messi, Ronaldo, Thiery Henry.
Karibu mdau tutajie kikosi chako pia.