Kipi ni Kikosi Chako Bora Kwa Miaka 10 Iliyopita

1-Buffon
2-Cafu
3-R. Carlos
4-Desailly
5-Canavarro (Terry '60)
6-Viera (Makelele '45)
7-Pirlo (Seedorf '60)
8-Zidane
9-C. Ronaldo (Eto'o '45)
10-Ronaldinho
11-Messi


Refa: Pierluigi Collina


kati ya hao uliowaoridhesha basi 6 wamecheza ac Milan
 
bila ubishi, dunia ilimtambua pale ila alikuwa anakamua sana na Villareal


hao wachezaji wa kuja na kusepa kama harufu ya ushuzi mi huwa siwatambui...

kaja kamkuta Uncle Pirlo na kaondoka kamuacha
 


ukianza kumzungumzia Messi basi utatumia karatasi moko tu....

ila ukija kwa nabii na mtume wa mwisho wa Soka muheshimiwa Ronaldinho Gaucho basi itakulazimu ujaze counter book pasipo kupiga mstari wa pambizo...
 
1.Buffon
2.lahm
3.maldin
4.Terry
5.Ramos
6.vierra
7.c.ronaldo
8.zidane
9.ronaldo
10.messi
11.ronaldinho
 
1.Buffon
2.lahm
3.maldin
4.Terry
5.Ramos
6.vierra
7.c.ronaldo
8.zidane
9.ronaldo
10.messi
11.ronaldinho


hongera na asante.
umefanikiwa kuorodhesha wachezaji wanne waliopata kukiputa AC Milan
 
1.iker casillas
2. danny alves
3. Ashley cole
4.john terry
5. puyol
6. Xabi alonso
7. Cr7
8. Xavi
9.Thierry henry
10. Wayne rooney
11. Lionel messi
 
1.iker casillas
2. danny alves
3. Ashley cole
4.john terry
5. puyol
6. Xabi alonso
7. Cr7
8. Xavi
9.Thierry henry
10. Wayne rooney
11. Lionel messi
Kikosi kibovu sana hata akina Alonso na Rooney wamo?!
 
hao wachezaji wa kuja na kusepa kama harufu ya ushuzi mi huwa siwatambui...

kaja kamkuta Uncle Pirlo na kaondoka kamuacha

ni mtazamo wako, uko huru. Hata hivyo hakuna mahali wamelinganishwa, majukumu na nafasi zao uwanjani zilikuwa tofauti.
 

Ronaldo yupi wa zamni au wa sasa?
Na zizuu utamueka wapi?
 
1.iker casillas
2. danny alves
3. Ashley cole
4.john terry
5. puyol
6. Xabi alonso
7. Cr7
8. Xavi
9.Thierry henry
10. Wayne rooney
11. Lionel messi
Yule dihno wako hayumo ila messi ndni... Ila mbna kaka ako toress humkumbuki!?
 

Kwa Kuwa yupo Thierry henry basi nmekipitisha.. Even though kuna baadhi hawausik ktk hicho kikosi. Ila henry mwsho Wa problems kwa miaka 10 a.k.a kwa muongo huu
 
Hiv mnaelewa nin ya miaka 10 iliyopita!? Jiulizen 2005 hao wakina lizarazu walikuwa ktk ubora!? De Lima alikuwa ktk form ya 96-2002?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…