Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Hakuji kutokea radio ilikuwa na vipindi vikali kama kiss fm enzi hizo mitaa yote station ilikuwa inasikilizwa na wajanja n hyo kiss fm ya zamani.Empire kwa upande wangu. Ila hizo show zote bado hazijjaifikia iliyokuwa show time ile ya kina kidbwoy, mtoto wa mama sabuni na DJ John Lyatoo pale RFA.
NI MAONI YANGU.
watoto wa chuo hao,muda wote earphone maskioni.Huo muda wa kusikiliza radio mida ya kazi mnautoa wapi,mtakuwa madereva wa daladala nyie
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Vipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"
Sikilizeni nyie tu
Kama umeanza kuisikiliza sasa, ila xxl imepoakwa sasa, kubali kataaKuna show zimepoa mzee sio XXL..huwa natupia earbuds zangu nakula vibe huku nikiendelea kuchakarika kutafuta ugali.
Itakuwa hivyowatoto wa chuo hao,muda wote earphone maskioni.