Kipi ni Kipindi bora cha burudani kwasasa kati ya Empire (EFM), The Switch (Wasafi FM) au XXL (Clouds FM)?

Kipi ni Kipindi bora cha burudani kwasasa kati ya Empire (EFM), The Switch (Wasafi FM) au XXL (Clouds FM)?

Waungwana salam, kichwa cha habari kinajieleza,

Kwasasa nchini Tanzania ni kipindi gani bora cha burudani kati ya: 1. Empire cha EFM kinachoendeshwa na B dozen na Jonijo 2. The Switch cha Wasafi FM kinachoendeshwa na The Real Ommy, Ammy Gal na mshana au 3. XXL cha Clouds FM cha kina mchomvu mina Ally na Kennedy the Remedy?
Mkuu japo earphones zangu mbovu.Ila Empire bonge la show.
 
Empire kiko fresh sana bro kuliko Double XL imeshuka brand,,Sema Empire segments zake ndo za kinyonge,

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Sasa kipindi kinakuwaje kikali halafu segment za kinyonge?..Empire mimi kwangu bado nilitegemea waje na vitu vikali zaidi.

Brand imeshuka umepimaje?..Empire ina Sponsors wengi kuliko XXL?
 
These days vipindi vingi vya mchana vimekosa ubunifu, story zilezile, hautasikia utofauti zaidi ya majina ya Watangazaji.
 
Hii stage nishaivuka ya kufatilia vipindi ivo

Enzi zangu kipindi hicho kuna DEIWAKA SHOW pale UHURU FM.

Kuna vitu vya kina Mr II enzi hizo anajiita II Proud

[emoji23][emoji23]

Nimekubali kila Zama na kitabu chake.


Vijana endeleeni kula burudani mda wenu ndo huu.
Dah! Long time, enzi hizo yuko Seba Maganga. Jioni ni Kiss FM, pia Dr.Beat pale Clouds na ML Chris
 
Waungwana salam, kichwa cha habari kinajieleza,

Kwasasa nchini Tanzania ni kipindi gani bora cha burudani kati ya: 1. Empire cha EFM kinachoendeshwa na B dozen na Jonijo 2. The Switch cha Wasafi FM kinachoendeshwa na The Real Ommy, Ammy Gal na mshana au 3. XXL cha Clouds FM cha kina mchomvu mina Ally na Kennedy the Remedy?
Kile cha jabir kinaitwaje
 
Sasa kipindi kinakuwaje kikali halafu segment za kinyonge?..Empire mimi kwangu bado nilitegemea waje na vitu vikali zaidi.

Brand imeshuka umepimaje?..Empire ina Sponsors wengi kuliko XXL?
Empire ina sponsors wachache coz ndo inaanza bro,,ata mwaka haina..XXL ipo pale tangia 2007 cjui 2005,,enzi za Doctor beat kule..XXL chemistry siioni tena,,,Chemistry ya Twangala na Babaako ni laana ariff
 
Back
Top Bottom