Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,123
- 2,449
Matangazo ndo uhai wa media broEmpire kipindi kizuri mnoo ila kinaanza kuboa matangazo mengi
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matangazo ndo uhai wa media broEmpire kipindi kizuri mnoo ila kinaanza kuboa matangazo mengi
Mkuu japo earphones zangu mbovu.Ila Empire bonge la show.Waungwana salam, kichwa cha habari kinajieleza,
Kwasasa nchini Tanzania ni kipindi gani bora cha burudani kati ya: 1. Empire cha EFM kinachoendeshwa na B dozen na Jonijo 2. The Switch cha Wasafi FM kinachoendeshwa na The Real Ommy, Ammy Gal na mshana au 3. XXL cha Clouds FM cha kina mchomvu mina Ally na Kennedy the Remedy?
Empire kiko fresh sana bro kuliko Double XL imeshuka brand,,Sema Empire segments zake ndo za kinyonge,Entertainment show kali inabidi kwanza iwe na DJ's wakali na pia presenter wawe na chemistry nzuri. XXL comes first.
Sasa kipindi kinakuwaje kikali halafu segment za kinyonge?..Empire mimi kwangu bado nilitegemea waje na vitu vikali zaidi.Empire kiko fresh sana bro kuliko Double XL imeshuka brand,,Sema Empire segments zake ndo za kinyonge,
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Jamaa wako very useless kabisa, full kubana pua na kujifanya watu wa matawi kumbe wakazi wa Tandale tuEmpire kipo vizuri.
Dah! Long time, enzi hizo yuko Seba Maganga. Jioni ni Kiss FM, pia Dr.Beat pale Clouds na ML ChrisHii stage nishaivuka ya kufatilia vipindi ivo
Enzi zangu kipindi hicho kuna DEIWAKA SHOW pale UHURU FM.
Kuna vitu vya kina Mr II enzi hizo anajiita II Proud
[emoji23][emoji23]
Nimekubali kila Zama na kitabu chake.
Vijana endeleeni kula burudani mda wenu ndo huu.
Kile cha jabir kinaitwajeWaungwana salam, kichwa cha habari kinajieleza,
Kwasasa nchini Tanzania ni kipindi gani bora cha burudani kati ya: 1. Empire cha EFM kinachoendeshwa na B dozen na Jonijo 2. The Switch cha Wasafi FM kinachoendeshwa na The Real Ommy, Ammy Gal na mshana au 3. XXL cha Clouds FM cha kina mchomvu mina Ally na Kennedy the Remedy?
The classicKile cha jabir kinaitwaje
thank youThe classic
Empire ina sponsors wachache coz ndo inaanza bro,,ata mwaka haina..XXL ipo pale tangia 2007 cjui 2005,,enzi za Doctor beat kule..XXL chemistry siioni tena,,,Chemistry ya Twangala na Babaako ni laana ariffSasa kipindi kinakuwaje kikali halafu segment za kinyonge?..Empire mimi kwangu bado nilitegemea waje na vitu vikali zaidi.
Brand imeshuka umepimaje?..Empire ina Sponsors wengi kuliko XXL?