Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Katika mazingira fulani, hua panapotokea ukavu au kukauka kwa sehemu za siri wakati wa tendo la ndoa..

Je, usahihi na usalama wa afya ya tendo lenyewe ni kutumia mate au mafuta kulainisha sehemu hizo zilizokauka au kavu?

Na vipi mkaishia hapo kwa siku hiyo, mpaka tena wakati mwingine patakapokua na ute wa kutosha, kisha muendelee tena na tendo, kuna ugumu wowote ndugu zangu?

Na, ni aina gani ya mafuta ambayo ni salama zaidi kwa afya, na aina ipi ni hatari kwa mustakabali mwema wa afya ya via vya uzazi vya wahusika kwenye tendo lenyewe ?πŸ’
 
Hivi ni kwanini mwanamke ukianza nae mahusiano ile mwanzo mwanzo ute hua unachuruzika wenyewe mpaka kufikia kulowesha ch*pi, lakini kadri siku zinavyoenda hali ya ukavu na ukame kunako via vya uzazi inashika hatamu mpaka kulazimika kuanza kufanya kilimo cha umwagiliaji?

Au ndio mabadiliko ya tabianchi?
 
Mate ulipewa ya Kazi gani? Acha kutusumbua na kutupotezea muda kwa Maswali yako. Ikiwa Kavu paka Mate Isokomeze.
 

Unakuwa umepunguza kumpa pesa
 
vichocheo na ashiki za kimwili zinakua zimebalance vizur, zimeisha au zimeshuka kutokana na sababu mbalimbali, kama vile kumzoea mwenzi wako n.kπŸ’
 
Mwanamke awe na mazoea ya kunywa maji ya bamia (okra), ute utakuwepo wa kutosha. Chemicals zingine uharibu ph level yake na kusababisha baadhi ya infections
 
Nadhani binadamu tulivyoumbwa huwa tunataka kubadili ladha, tunachokana na kukinaiana hata kama tunajificha na kuambiana tunayotaka kusikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…