Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Hivi ni kwanini mwanamke ukianza nae mahusiano ile mwanzo mwanzo ute hua unachuruzika wenyewe mpaka kufikia kulowesha ch*pi, lakini kadri siku zinavyoenda hali ya ukavu na ukame kunako via vya uzazi inashika hatamu mpaka kulazimika kuanza kufanya kilimo cha umwagiliaji?

Au ndio mabadiliko ya tabianchi?
Mabadiliko ya tabia-nchi muheshimiwa.
 
Fi
Hivi ni kwanini mwanamke ukianza nae mahusiano ile mwanzo mwanzo ute hua unachuruzika wenyewe mpaka kufikia kulowesha ch*pi, lakini kadri siku zinavyoenda hali ya ukavu na ukame kunako via vya uzazi inashika hatamu mpaka kulazimika kuanza kufanya kilimo cha umwagiliaji?

Au ndio mabadiliko ya tabianchi?
First impressions count😄
 
Hivi ni kwanini mwanamke ukianza nae mahusiano ile mwanzo mwanzo ute hua unachuruzika wenyewe mpaka kufikia kulowesha ch*pi, lakini kadri siku zinavyoenda hali ya ukavu na ukame kunako via vya uzazi inashika hatamu mpaka kulazimika kuanza kufanya kilimo cha umwagiliaji?

Au ndio mabadiliko ya tabianchi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ni mpotoshaji, tafadhali musije kujaribu kutumia mafuta ya nazi, yatawachubua kizeeeeeembe. Kama ni jambo la dharura, mdomo haukauki mate, jiongeze. Ukimjua mwenzio ana hili tatizo, nunua kilainishi. Mafuta laini, ngoma itapandisha na kushusha kitonga salama hadi raha. Sio gharama, nadhan chini ya 10000 umepata kichupa. Mwenye uhitaji, kwa 14000 nitakuletea
 
Huyu ni mpotoshaji, tafadhali musije kujaribu kutumia mafuta ya nazi, yatawachubua kizeeeeeembe. Kama ni jambo la dharura, mdomo haukauki mate, jiongeze. Ukimjua mwenzio ana hili tatizo, nunua kilainishi. Mafuta laini, ngoma itapandisha na kushusha kitonga salama hadi raha. Sio gharama, nadhan chini ya 10000 umepata kichupa. Mwenye uhitaji, kwa 14000 nitakuletea
Em taja hayo mafuta hapa, ukute ni fake au refurbished, Lol
 
Haijawahi niangusha hii kitu
durex .jpg
 
Back
Top Bottom