Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Katika mazingira fulani, hua panapotokea ukavu au kukauka kwa sehemu za siri wakati wa tendo la ndoa..

Je, usahihi na usalama wa afya ya tendo lenyewe ni kutumia mate au mafuta kulainisha sehemu hizo zilizokauka au kavu?

Na vipi mkaishia hapo kwa siku hiyo, mpaka tena wakati mwingine patakapokua na ute wa kutosha, kisha muendelee tena na tendo, kuna ugumu wowote ndugu zangu?

Na, ni aina gani ya mafuta ambayo ni salama zaidi kwa afya, na aina ipi ni hatari kwa mustakabali mwema wa afya ya via vya uzazi vya wahusika kwenye tendo lenyewe ?🐒
Wewe ni KE or ME nataka nitoe ushauri nikijua naongea na jinsia gani?
 
Wewe ni KE or ME nataka nitoe ushauri nikijua naongea na jinsia gani?
zungumza na wadau wa jukwaa hili katika ujumla wake bila kuleta element za ubaguzi wa kijinsia, kwa manufaa ya Afya ya via vyao vya uzazi itapendeza zaidi 🐒
 
Hivi mzee baba, wewe ndiye kuna wakati uliandika utagombea ubunge?
ulishawahi kukutana na kadhia hii ya ukavu na kukauka kwa via vya uzazi wakati ukiwa faragha na mwenzi wako?🐒

ulikabiliana vip na mazingira hayo, ukiendelea au busara ilikuelekeza kuahirisha zoezi hadi wakati mwingine muafaka?🐒
 
Kiuhalisia na kiuumbaji wa Mungu Mwanamke anakua na hamu ya kufanya tendo la ndoa wakati maalumu tu na sio kila siku. Ndio maana mwanaume au kiumbe chochote cha kiume kimepewa fursa ya kuwa na majile mengi . Viumbe wote wanafanana katika mifumo yao tofauti ni kuwa binadamu amepewa akili kubwa zaidi .

Wanawake wanapofanya mapenzi kama starehe bila kujali wakati wa wa kibiolojia matokeo yake ni kukereka na kuona wanaume kama watu katili kwenye mapenzi kumbe wao ndio wanaoenda kinyume na ml0kuaumbile yao kibiolojia .


Ukiangalia wanawake wengi kwa sasa wanahaha kutafuta namna ya kufurahia ngono matokeo yake wanakua na wanaume wengi wakiendelea kutafuta namna ya kufurahia. Wengine anafikiri labda akisuguliwa mpala apate michubuko na kusikia K inawaka moto wiki nzima ndio raha lakini baadae anakutana na mwingine kwenye siku ya joto na kulainishwa vizuri bila kuumia wala michubuko akaona tena ndio raha yake . Mwingine akakutana na wapiga deki wanaotumia ulimi kupaka mate lakini bado wanawake wanaona kuwa suala la ngono kwao halina furaha ndio maana wote wanaamini kuwa anayefaidi ni mwanaume ndio maana wanaamua hata kuuza huduma ya ngono.


Turejee kwenye maumbile ya kibiolojia . Mwanaume awe na wake wawili mpaka watatu ili wapate muda wa kukusanya hisia zao kwa wivu mkubwa na kutamani zamu yake ifike ndani ya wiki na mwezi. Vinginevyo ,hii mifumo ya kuiga kwenye tamthilia na picha za ngono itasambaratisha mahusiano mengi sana ya watu hasa wanawake wanaoshinda kwenye mitandao.
Tooo theoretical 🤣
 
Em taja hayo mafuta hapa, ukute ni fake au refurbished, Lol
Inaonyesha una experience ya kutosha hadi kuwa n uwezo wa kujua ubora wa sexual lube kwa majina tu😂😂😂ny, don't mind me, just axaggerating😂😂😂
In other words, i can order n deliver for people who can't at a profit. How does that sound🥱
 

Attachments

  • Screenshot_20240622_140203_Chrome.jpg
    Screenshot_20240622_140203_Chrome.jpg
    95.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240622_140136_Chrome.jpg
    Screenshot_20240622_140136_Chrome.jpg
    244 KB · Views: 3
Inaonyesha una experience ya kutosha hadi kuwa n uwezo wa kujua ubora wa sexual lube kwa majina tu😂😂😂ny, don't mind me, just axaggerating😂😂😂
In other words, i can order n deliver for people who can't at a profit. How does that sound🥱
aise,
mambo mazito haya 🐒

licha ya kupata mawazo mapya kuna mambo na vitu vipya sana aise vya kuvijua, kuvielewa na kulifahamu...

ama kweli, kua uyaone..
kuuliza sio ujinga...

thank you very much muungwana kututoa tongotongo 🐒
 
Kwa hiyoo mnataka yenye maji au yenye ute?...jamani hayo ni maumbilee
bibafs sina haja na ute au maji..

ila nilitaka tu kujua kwa faoda ya afya za wadau,
kipi ni sahihi kati ya mate au mafuta yakulainisha panapotokea ukavu au kukauka via vya uzazi mnapokua kwenye tendo la kujamiiana?

sasa kibu lako limenipa uelewa mpya kwamba kumbe kua na ute au maji kunaweza kusababishwa na maumbile mom? :BRUHMM:
 
bibafs sina haja na ute au maji..

ila nilitaka tu kujua kwa faoda ya afya za wadau,
kipi ni sahihi kati ya mate au mafuta yakulainisha panapotokea ukavu au kukauka via vya uzazi mnapokua kwenye tendo la kujamiiana?

sasa kibu lako limenipa uelewa mpya kwamba kumbe kua na ute au maji kunaweza kusababishwa na maumbile mom? :BRUHMM:
Mimi sio mtaalamu Sana...ninachojuaa Mimi hivyo vilainishi sio vizuri hata kidogo kwa maumbile ya wanawake na havishauriwi..kutokana na Mambo kuwa magumu watu hutumiaa...kiasili pussy ya mwanamke inatakiwaa kuwaa wet ili kuwezeshaa easy penetration na enjoyable sex...Hiyoo wetyness tunaipatajee hapoo sasa..tunapaswaa kutunza maumbile yetu...vyakula..stress free...hisia n.k...
 
Back
Top Bottom