Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ndio shida ya kubishana na lgbtq+ hata kuelewa haelewiKwahy unataka bomu likirushwa lichague watu wa kuua, nyie wala kitimoto kwa siri kwan mkirusha bomu kwenda Israel hua mnaua wanaume tuu? Na kama mnaua wanaume wa Israel tuu bc na nyie jifunzeni kuwalinda hao wanawake na watoto wenu ili wasiuawe na mabomu ya Israel
Israhell bora antibalaka wanajiweza yaaniHili li Netanyahoo linalilia tu mda huuπππ
β οΈBREAKING NEWSβ οΈ
Iran and Russia supply Hezbollah with the latest missiles and rockets against Israel. Otherwise, it s a small resistance group in front of us.
Hatimaye wanamgambo wa Israeli toka Kilwa Masoko mmetoka kwenye mapango ππWaarabu koko wameanza vitisho kama kawaida. Hao magaidi wa Hezbollah wanajipanga kukimbilia kujificha kwa wanawake na watoto kama ilivyo ada lakini hamna namna kwa sababu vita havina macho wakufa itabidi wafe tu
LebanonTaifa teule.
Ka video ka uharibifu kako wapi sasa waungwana
Hapo zinashambuliwa kambi za kijeshi wala si makazi ya raia.Siku sio nyingi utasikia kilio ety Israel wanauwa wanawake na watoto π
InapendezaHapo zinashambuliwa kambi za kijeshi wala si makazi ya raia.
Ila ukumbuke Hizbullah nao wamesema vita yao na israel haitafuata sheria za kivita. Israel ikiua raia na wao wataua raia. Kipimo kilekile atakachowapimia Israel nao hicho hicho watampimia. Na mbaya zaidi ni majirani wanao share mpaka.
Israel ikiingia vita na Hizbullah ikubali kwao nako pia pataharibika. Wanafahamu hili ndiyo maana wanasita kuvamia mazima.
dogo usitie hofu kwa Hezbullah safari hi, we tega masikio Israel ndio atalalamika watoto wake na wanawake wanauliwa na Hezbollah safari hi.Siku sio nyingi utasikia kilio ety Israel wanauwa wanawake na watoto π
Sawa tutaonadogo usitie hofu kwa Hezbullah safari hi, we tega masikio Israel ndio atalalamika watoto wake na wanawake wanauliwa na Hezbollah safari hi.
Sababu Nasurlah kasema safari hi hatutafata sheria za vita.
Sababu Israel yeye huwa hata afanye genocide husikii anahukumiwa.
Hezbullah huo mchezo wa kufata sheria za vita wamesama no way, ukipiga civilian tunapiga civilian.
Pelekeni wakristo wakasome kilimo Israel hu ndio wakati wake, mihogo inakubali kweli π
Safari hi taifa teule la paulo wataishi kwenye mashimo tu pale Tel Aviv we tulizana mziki wa Hezbullah ukianza.Waarabu koko wameanza vitisho kama kawaida. Hao magaidi wa Hezbollah wanajipanga kukimbilia kujificha kwa wanawake na watoto kama ilivyo ada lakini hamna namna kwa sababu vita havina macho wakufa itabidi wafe tu.
Israel kwa sasa ina wakati mgumu kwa Hizbullah.dogo usitie hofu kwa Hezbullah safari hi, we tega masikio Israel ndio atalalamika watoto wake na wanawake wanauliwa na Hezbollah safari hi.
Sababu Nasurlah kasema safari hi hatutafata sheria za vita.
Sababu Israel yeye huwa hata afanye genocide husikii anahukumiwa.
Hezbullah huo mchezo wa kufata sheria za vita wamesama no way, ukipiga civilian tunapiga civilian.
Pelekeni wakristo wakasome kilimo Israel hu ndio wakati wake, mihogo inakubali kweli π
Lgbtq+πImesimama njoo ukalie
LqbtqπKaribu nikupakate