Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

kwani Gaza kuna ,,jeshi,,lenye silaha na ndege za vita za kupigana na israel?
Sema israel alikuwa anabomoa majengo na kuua watoto..
 
Ussr wakati wanapambana na hitler inasemekana walikufa kama watu 20M
Kufa sio kuzuri ila kuna muda haki haiji bila vifo kutokea
Wame exaggerate figures Ili wapate world sympathy
Inasemekana waliouwawa hawazidi 2m
Wao wanadai ni approximately ni 6m to 7m ndio waliouwawa na Hitler
Ukitaka ukweli zaidi waweza search
"Does 6 million Jews really died" ?

Kuna mtu UK aliandika Kitabu chenye title kama hiyo hapo juu baada ya muda kilipigwa marufuku

Hii world sympathy ndio inafanya hilo Taifa Lina survive mpaka hivi sasa
 
Kiongozi mwingine wa hezbollah jana kalambishwa mchanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…