Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimind sisi sote tulienda misri kuzurura tu. Nawatania.At least bwana that was good
Sisi hata KIDOGO si unaona tumetoka zero points very disappointing
Ingia kwenye mitandao kama twitter, facebook na instagram.Umesikia wapi
Wakatugeuzia na wimboSafi waache mdomo maana walichonga sana
Wajua tangu zamani hizi nchi mbili zimekuwa na ugomvi juu ya mambo mengi wakenya hawachukii watanzania na vice versa ni tu vile ikifika wakati wa kushindana ndio tunakuwa wazalendo sana mpaka twaanza kugombana. Lakini mandugu hugombana, hupigana na hupendana. Pamoja.Tumepishana padogo sana wao +254 na sisi ni +255 ila wanajifanya wao wajanja kisa wametuotea tu
Wajua tangu zamani hizi nchi mbili zimekuwa na ugomvi juu ya mambo mengi wakenya hawachukii watanzania na vice versa ni tu vile ikifika wakati wa kushindana ndio tunakuwa wazalendo sana mpaka twaanza kugombana. Lakini mandugu hugombana, hupigana na hupendana. Pamoja.
Viti maalumu. VIDU (Viwango Duni)Bado,wanasubiri matokeo ya kesho. Waombe Mungu Benin na Angola wafungwe.
They are ready to pack and Go home
Kufanya utalii,rudini tukae tukunywe kahawa tujadili tulikosea wp?hata mkienda huko mbele itakuwa aibuMkichengwa tulia afadhali tulitoka misri na point 3 je nyinyi mtasemaje? Mlienda misri kufanya nini? Tafakari hayo.
Number one ni tz?Hujatania, Kenya ni top three worst loser
hapo sawa. Waaah misri kweli tuliona noma sana.Kufanya utalii,rudini tukae tukunywe kahawa tujadili tulikosea wp?hata mkienda huko mbele itakuwa aibu