nyie wanafunzi acheni ubishoo na usharobaro, hivi kweli hao vibaka wanawaingilia hadi hosteli na kuwaibia na kama haitoshi kuwabaka? haijawahi kutokea, kweli watoto wa kiume mnashindwa kupambana? eti mnataka ulinzi wa polisi, polisi atawalinda hadi billicanas? kwanza watoto wa kiume mnajichubua pia mnavaa mlegezeo(mnawatamanisha mkalio yenu) kwanini wasiwabake! pia HAMNA USHIRIKIANO NA WENYEJI MNAJIONA NYIE NDIO NYIE HATA SALAMU HAMNA, MNACHUKUA DADAZAO NA WAKE ZAO HALAFU WAKILIPIZA MNATAKA ULINZI WA POLISI( POLISI WANALINDA VIONGOZI WA NCHI NA TAASISI NYETI KAMA MABENKI SIO HOSTELI ZA WANAFUNZI). ushauri: BADILIKENI.
nimetazama kwa masikitiko jinsi watoto watanzania walioenda kulilia baba yao (serikali) awaepushe na janga la kubakwa walivyosurubishwa na dola. huu ndiyo uhalisia wa jeshi letu; ukienda polisi kutoa taarifa ya uharifu unakuwa mtuhumiwa wa kwanza, . mbaya zaidi Kova anaenda mbali kwa kuwataka wanafunzi wamsaidie yeye kuwalinda wananchi wa kigamboni ambao wanakila aina ya madhila ya wizi, ubakaji na vurugu za mitaani. inasikitisha sana.
namna ulivyochangia kama una chuki nao!!!????
Mkuu hivi ni majangili au mabasha?majangili ?
nimetazama kwa masikitiko jinsi watoto watanzania walioenda kulilia baba yao (serikali) awaepushe na janga la kubakwa walivyosurubishwa na dola. huu ndiyo uhalisia wa jeshi letu; ukienda polisi kutoa taarifa ya uharifu unakuwa mtuhumiwa wa kwanza, . mbaya zaidi Kova anaenda mbali kwa kuwataka wanafunzi wamsaidie yeye kuwalinda wananchi wa kigamboni ambao wanakila aina ya madhila ya wizi, ubakaji na vurugu za mitaani. inasikitisha sana.
nyie wanafunzi acheni ubishoo na usharobaro, hivi kweli hao vibaka wanawaingilia hadi hosteli na kuwaibia na kama haitoshi kuwabaka? haijawahi kutokea, kweli watoto wa kiume mnashindwa kupambana? eti mnataka ulinzi wa polisi, polisi atawalinda hadi billicanas? kwanza watoto wa kiume mnajichubua pia mnavaa mlegezeo(mnawatamanisha mkalio yenu) kwanini wasiwabake! pia HAMNA USHIRIKIANO NA WENYEJI MNAJIONA NYIE NDIO NYIE HATA SALAMU HAMNA, MNACHUKUA DADAZAO NA WAKE ZAO HALAFU WAKILIPIZA MNATAKA ULINZI WA POLISI( POLISI WANALINDA VIONGOZI WA NCHI NA TAASISI NYETI KAMA MABENKI SIO HOSTELI ZA WANAFUNZI). ushauri: BADILIKENI.
Picha hii imenihuzunisha sana. Wamefanya kosa gani hawa mpaka wastahili kipigo kama hiki cha kufa mtu?
View attachment 79503
nyie wanafunzi acheni ubishoo na usharobaro, hivi kweli hao vibaka wanawaingilia hadi hosteli na kuwaibia na kama haitoshi kuwabaka? haijawahi kutokea, kweli watoto wa kiume mnashindwa kupambana? eti mnataka ulinzi wa polisi, polisi atawalinda hadi billicanas? kwanza watoto wa kiume mnajichubua pia mnavaa mlegezeo(mnawatamanisha mkalio yenu) kwanini wasiwabake! pia HAMNA USHIRIKIANO NA WENYEJI MNAJIONA NYIE NDIO NYIE HATA SALAMU HAMNA, MNACHUKUA DADAZAO NA WAKE ZAO HALAFU WAKILIPIZA MNATAKA ULINZI WA POLISI( POLISI WANALINDA VIONGOZI WA NCHI NA TAASISI NYETI KAMA MABENKI SIO HOSTELI ZA WANAFUNZI). ushauri: BADILIKENI.
Picha hii imenihuzunisha sana. Wamefanya kosa gani hawa mpaka wastahili kipigo kama hiki cha kufa mtu?
View attachment 79503
namna ulivyochangia kama una chuki nao!!!????
namna ulivyochangia kama una chuki nao!!!????
Picha hii imenihuzunisha sana. Wamefanya kosa gani hawa mpaka wastahili kipigo kama hiki cha kufa mtu?
View attachment 79503
bila shaka uliombaga nafasi IFM ukanyimwa yani umeonesha chuki ya waziwazi.