Kipigo cha wana ifm: Kova ameonesha uhalisia wa jeshi la polisi.

taifa limetambua umuhimu wa JKT, vijana wamekuwa legelege,wavaa mlegezo wakitishiwa na wembe tu wanatishika kiasi cha kubakwa, hawajui hata jinsi gani ? ya wao wenyewe kujilinda wanatetemeshwa na mateja kiasi cha kutii amri yao, lkn wanajifanya ngangari kukataa amri ya polisi.
 
Sasa umuhimu wa JKT ndio tunauona. Acheni ubishoo na kujilegeza vinginevyo changamoto za maisha zitawatesa sana.
 
polisi mshahara mdogo, nyumba mbaya.
wakipata chance kama hizi wanatoa stress zoote
 
kosa lao ni kwenda kuomba ulinzi kwa polisi wenye elimu ya kidato cha nne failures au darasa la 7
wakati wao wanasomea shahada ni kama kuwatukana polisi
anyway labda tuwalaumu kwanini hawakutuma wawakilishi badala ya kwenda wote?
 

Wewe ni darasa 7 ama umesoma alaf hujui kutumia elimu yako..
 
Yaani wote mliocomment kuwasifia serikali basi hamjui kazi wizara ya mambo ya ndani inakazi gani... Alaf kuvamia chumbani wenye laptop hawabwaki maskini (watoto wa mkulima) wanabakwa .... Mnawasemaa vibaya... Mungu ibariki Tanzania... Na Wananchi wake walivyowajinga... 😡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…