nyie wanafunzi acheni ubishoo na usharobaro, hivi kweli hao vibaka wanawaingilia hadi hosteli na kuwaibia na kama haitoshi kuwabaka? haijawahi kutokea, kweli watoto wa kiume mnashindwa kupambana? eti mnataka ulinzi wa polisi, polisi atawalinda hadi billicanas? kwanza watoto wa kiume mnajichubua pia mnavaa mlegezeo(mnawatamanisha mkalio yenu) kwanini wasiwabake! pia HAMNA USHIRIKIANO NA WENYEJI MNAJIONA NYIE NDIO NYIE HATA SALAMU HAMNA, MNACHUKUA DADAZAO NA WAKE ZAO HALAFU WAKILIPIZA MNATAKA ULINZI WA POLISI( POLISI WANALINDA VIONGOZI WA NCHI NA TAASISI NYETI KAMA MABENKI SIO HOSTELI ZA WANAFUNZI). ushauri: BADILIKENI.