Leo hii Msemaji wa Club ya Yanga Ndg. Haji Manara ali maarufu Msukule au Miss Buzza alikuwa amealikwa kwenye kipindi cha joto la asubuhi kinachaandaliwa na Gerald Hando kupitia redio EfM.
Mpaka sasa bado anasubiriwa na hajaonekana na kipindi kiltakiwa kuanza saa moja kamili asubuhi (1:00) .Popote pale alipo tunaomba akumbushwe ili aweze kufika mara moja.
MSEMO WA LEO: SISI TUNA WATU
Mpaka sasa bado anasubiriwa na hajaonekana na kipindi kiltakiwa kuanza saa moja kamili asubuhi (1:00) .Popote pale alipo tunaomba akumbushwe ili aweze kufika mara moja.
MSEMO WA LEO: SISI TUNA WATU