cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Chukueni huo msukule wenu mnufaike vizuri na team yetu yenu mkuu, ka team ya Zambia inawanyoosha na ndio mnufaiko wenyewe hongereniManeno ya mkosaji hayo!!gsm yeye anafahamu ni kwa kiasi gani atanufaika naye, na ndio maana mudy alitaka awe anatangaza bidhaa zake, manara kwa yanga kama hawana uwezo uwanjani hana uwezo wa kuwafanya awe na uwezo huo, lakino ki uchumi ana umuhimu sana.