Kipigo cha ZANACO chamvuruga kabisa Manara, aingia mitini na kukwepa kipindi cha redio asubuhi hii

Chukueni huo msukule wenu mnufaike vizuri na team yetu yenu mkuu, ka team ya Zambia inawanyoosha na ndio mnufaiko wenyewe hongereni
 
Kinachouma zaidi ni kwalipia nauli ya ndege na malazi timu ya Zanaco alafu wanawaharibia shughuli,icho tu ndo kinakera[emoji23][emoji28]
 
Wao Wana MUNGU!
 
Nimependa hilo la aka miss buza[emoji1319][emoji1319][emoji1312]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…