Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
IntelligenceHuwezi kuwa akili kubwa na ukawa Ccm.
Degree na Intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IntelligenceHuwezi kuwa akili kubwa na ukawa Ccm.
Degree na Intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.
Alikuwa nayo kabla hajaingia CCM. Mfano Bashiru wakati wa mchakato wa Katiba ni tofauti na yule wa wakati wa JPM.Hiyo Akili yake imekua kubwa saivi kipindi cha SSH?
Ajabu wanaoyafanya haya ni hawa hawa waliomwita Magufuli ni dicteta na hataki kukosolewa.Nchi hii uzwazwa hautaisha tangu lini mawazo na maoni ikawa tusi kwani hao viongozi ni machifu au mitume. Opofu kila Kona Maoni hayapigwi rungu jibuni hoja Kwa hoja.
Very absurd and huge shame for the Country.
Watu wanatembea na akili za ukipepeo kwenye vichwa vyao.
Anzisheni uraia pacha haraka sana mpate hybrids.
Elewa ulichoambiwa,Angalia hoja ama maudhui sio mtu, tatizo wabongo vichwa vibovu, piganeni na maudhui. Mfufueni Magufuli basi kama hasira zenu ni kaburi la chato. Tuache upumbavu ili taifa liende mbele.
Hapo ndipo tunasema wabongo hamna akili kichwani.Mmeshachoka akili.Hata concept ndogo zinawashinda.Ukikutwa unaiba ,lazima liwe kosa ,lakin ukisema kuwa umeshikwa na mwizi sasa sio kosa huo ni ujinga na upumbavu.wewe ndiye una akili finyu sana. Read between lines! Kila mmoja anasema Bashiru yuko sahihi by 1,000,000% lakini ni mnafiki! Yeye alimtukuza Magufuli kuliko hata Mungu wa Mbinguni. Leo anasema wakulima wasiwasifu watawala. Nadhani umeelewa watu wanachopinga. Bashiru ni mnafiki , katili, roho mbaya, muuaji, mtekaji al all filths! leo eti anawaonea hurma wakulima.
Once a traitor, always a traitor. It only takes true repentance and a turn -around to regain public Trust!by Shangazi Maria sarungi (Hiki ndicho watu wanachosema)
Uliowasema wako Kama Bashiru. As long as alihudumu katika utawala dhalimu wa magufuli nakutenda atrocities zote hizo, basi he has lost his credibility to say anything in relation to human /wakulima rights!Kigwangala ,Kibajaji,Musukuma, n.k. Hata ukiwangalia machonu HAWANA chembe ya utu Wala uadilifu. N
Alilolisema Bashiru lingekuwa na mashiko na mantiki endapo lingetoka kwa mtu mwingine yeyote tofauti na yeye.
Anachokihubiri Bashiru sasa hivi kwa kupinga ni kile kile ambacho alikuwa akikifanya enzi alipokuwa na mashiko kwenye Chama na nchi.
Hivyo kama kuna kipimo chochote katika hili basi ni unafiki wa wanasiasa katika kutetea maslahi ya matumbo yao.
umetumia haki yako ya msingi kujielezea kwa uhuru tena kwa kutumia bundle lako, naanzaje kukupinga sasa? upo sahihi kwa ukomo wa fikra zako.Sasa wewe ulitaka katika ule mkutano asemeje??, ulitaka aseme; mama anaupiga" mwingi ndipo asionekane mnafiki ??
Wapumbavu wote wanataka bashiru aseme hivyo kweye mkutano uleSasa wewe ulitaka katika ule mkutano asemeje??, ulitaka aseme; mama anaupiga" mwingi ndipo asionekane mnafiki ??
Huwezi kuwa akili kubwa na ukawa Ccm.
Degree na Intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mkuu Kama hatakuelewa wewe Basi,hatamwelewa MTU mwingine yeyote isipokua yeye mwenyeweWewe ndiye una akili finyu sana. Read between lines! Kila mmoja anasema Bashiru yuko sahihi by 1,000,000% lakini ni mnafiki!
Yeye alimtukuza Magufuli kuliko hata Mungu wa Mbinguni. Leo anasema wakulima wasiwasifu watawala. Nadhani umeelewa watu wanachopinga. Bashiru ni mnafiki , katili, roho mbaya, muuaji, mtekaji al all filths! leo eti anawaonea hurma wakulima.
Once a traitor, always a traitor. It only takes true repentance and a turn -around to regain public Trust!by Shangazi Maria sarungi (Hiki ndicho watu wanachosema)
Huyu BASHIRU Ana ukubwa gani?.. Ama alikua na ukubwa gani?.. Mkuu ukimuona Mbuzi juu ya mti jua alipandishwa huyo,,, na akishushwa hapandi n'o Hadi apandishwe tenaBashiru ni mkubwa sana subirini 2025 ndio mtajua, mnapanic na inspirational speech na motivation Kwa wakulima, ni hamasa ya kujitambua, hivi mmeoiona risala ya wana mviwata Kwa mgeni rasmi hususani changamoto zao walizoainisha.
A point of interest: unaweza kutufafanulia 'degree na intelligence' ni vitu viwili tofauti?!Huwezi kuwa akili kubwa na ukawa Ccm.
Degree na Intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mbona sisi majiniasi tupo huko na tunaendelea vizuri tu!! Acha uzwazwa wako mkuu.Huwezi kuwa akili kubwa na ukawa Ccm.
Degree na Intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.