Kipimo cha akili ndogo za Wabongo ni akili kubwa ya Dkt. Bashiru

Ajabu wanaoyafanya haya ni hawa hawa waliomwita Magufuli ni dicteta na hataki kukosolewa.
Wanakula asali hawataki Mama yetu wa kambo aguswe.
 
Angalia hoja ama maudhui sio mtu, tatizo wabongo vichwa vibovu, piganeni na maudhui. Mfufueni Magufuli basi kama hasira zenu ni kaburi la chato. Tuache upumbavu ili taifa liende mbele.
Elewa ulichoambiwa,
 
Hapo ndipo tunasema wabongo hamna akili kichwani.Mmeshachoka akili.Hata concept ndogo zinawashinda.Ukikutwa unaiba ,lazima liwe kosa ,lakin ukisema kuwa umeshikwa na mwizi sasa sio kosa huo ni ujinga na upumbavu.
 
Kigwangala ,Kibajaji,Musukuma, n.k. Hata ukiwangalia machonu HAWANA chembe ya utu Wala uadilifu. N
Uliowasema wako Kama Bashiru. As long as alihudumu katika utawala dhalimu wa magufuli nakutenda atrocities zote hizo, basi he has lost his credibility to say anything in relation to human /wakulima rights!
Once a traitor, always a traitor. It only takes true repentance and a turn -around to regain public Trust!
 


Sasa wewe ulitaka katika ule mkutano asemeje??, ulitaka aseme; mama anaupiga" mwingi ndipo asionekane mnafiki ??
 
Sasa wewe ulitaka katika ule mkutano asemeje??, ulitaka aseme; mama anaupiga" mwingi ndipo asionekane mnafiki ??
umetumia haki yako ya msingi kujielezea kwa uhuru tena kwa kutumia bundle lako, naanzaje kukupinga sasa? upo sahihi kwa ukomo wa fikra zako.
 
Huwezi kuwa akili kubwa na ukawa Ccm.

Degree na Intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.

Such a generalization ndo inakufanya kutokuwa na akili. Bila akili kubwa unqdhani wangekuwa madarakani mpaka leo? Akili kubwa ni pamoja na kusoma mazingira na kuyatumia. Wewe usiyeelewa ndo unaonyesha huna akili hiyo kubwa na ndo mana unapata hata nguvu ya kufanya fallacy ya generalization.
 
Ama kweli mbwa habweki akiwa na mnofu mdomoni!... Hivi katika nchii hii Kuna Rais alikua akisifiwa kwa mbwembwe Kama Magufuli? Hadi Kuna wapuuz walidiriki kusema vitu vya kukufuru!.. " MUNGU AMSHUKURU MAGUFULI" Huyu alikua wapi wakati huo ,asijitokeze kukemea na kukumbusha kua ,,Magufuli anatenda wajibu wake!.. Hizi sifa na upuuz wa kuzndua zindua kila kitu uMeanza kipindi Cha Magufuli,, ambacho yeye alikua Katibu Mkuu kiongozi na Katibu wa CHAMA,,, Leo hiii kusema mama anaupiga mwingi ndo asikike akibweka!... Kisa hatembei Tena na msafara wa ma vietee?.. Kwa aina hii ya viongozi wachumia tumbooo NCHI IKIFIKIA LEVEL ZA QATAR MNIITE MBWA NIPO PALEE"
 
Mkuu Kama hatakuelewa wewe Basi,hatamwelewa MTU mwingine yeyote isipokua yeye mwenyewe
 
Bashiru ni mkubwa sana subirini 2025 ndio mtajua, mnapanic na inspirational speech na motivation Kwa wakulima, ni hamasa ya kujitambua, hivi mmeoiona risala ya wana mviwata Kwa mgeni rasmi hususani changamoto zao walizoainisha.
Huyu BASHIRU Ana ukubwa gani?.. Ama alikua na ukubwa gani?.. Mkuu ukimuona Mbuzi juu ya mti jua alipandishwa huyo,,, na akishushwa hapandi n'o Hadi apandishwe tena
 
Upinzanii wa nchii Ni mbumbu tu!.. that's why hua wanasubiri na kutegemea wagombea wanaoenguliwa kutoka CCM!.. Leo hii wamesimama na BASHIRU kidete ,,wanasahau huyu ndo Alikua miongoni walio bariki kwa maneno na vitendo,,kuvuruga uchaguzi 2020, " KUTUMIA DOLA KUBAKI MADARAKANI" ,,, walimchafua na kumsema Eddo miaka NENDA miaka Rudi afu paaap wakamvuta akawa mgombea wao!.. Bora tubaki na hili zimwi litujualo make halituli tukakwisha,,
 
Huwezi kuwa akili kubwa na ukawa Ccm.

Degree na Intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.
A point of interest: unaweza kutufafanulia 'degree na intelligence' ni vitu viwili tofauti?!
 
Huwezi kuwa akili kubwa na ukawa Ccm.

Degree na Intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mbona sisi majiniasi tupo huko na tunaendelea vizuri tu!! Acha uzwazwa wako mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…