#COVID19 Kipimo cha Covid-19 cha haja kubwa: Japani yaitaka China kuacha kukitumia kwa raia wake

Ni lini viongozi wetu wa kiserikali watazuru China ili kijifunza mambo mbalimbali ya kimaendeleo na kubadilishana uzoefu? Nashauri wabunge waanze kwenda China
 
Siwana Waziri wao wa Saikolojia shida ipo wapi? Wachukuliwe vipimo baada ya hapo waende kufanyiwa kancelling
 
Em tupia kapicha mkuu.. maana bila picha uzi unapwaya huu!
 
Hiyo ni njia moja China anaitumia kupinga hii corona ya kutengenezwa maabara. Si wanataka sana watu wapige corona basi nendeni sasa mkapime china.
Mbona corona virus ilitengenezwa na maabara mjini Wuhan huko huko China?!!!

 
Miaka ya themanini na tisini china walikuwa ombaomba, lakini leo ndio wamekuwa ni katili, waonevu na wanyonyaji kweli kweli. Nadhani walioisaidia china wakati huo (ikiwemo Japan) kwa kutegemea kuwa watajenga uhusiano mzuri leo hii wanajilaumu sana. China walichukua ile bullet train waliyosaidiwa na japan, pamoja na ile waliyotoa Ufaransa wakazikokongoroa kutafuta technology na kuziunganisha kupata bullet train iliyozishinda zile za japan na Ufaransa walizokuwa wameasaidiwa.
 
Inahitaji moyo kwa kweli yaani unabong'oa halafu wanakuingizia kitu kwa kuzungusha kwa nguvu ! Nawaonea huruma wafanyabiashara wetu aisee
 
Hy hao walioenda China watupe mrejesho wa kinachojiri hasa[emoji3]
 
Ni lini viongozi wetu wa kiserikali watazuru China ili kijifunza mambo mbalimbali ya kimaendeleo na kubadilishana uzoefu? Nashauri wabunge waanze kwenda China
Jpm ndo aanze

Au nasema uongo ndg zangu
 
Wale wafunga bidhii za China vipi, tunataka walete mrejesho( feedback) za uhakika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana wabongo wengi hununulia bidhaa huko!
Watu wanaagiza tu siku hizi kwenda sio lazima tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…