Mkuu unamaanisha hiki ki complex ninachokifahamu?C₄H₂FeO₄ fumarate?Huna hela fumarate wewe,
Umetisha mkuu hata chasis yatosha 😅 😂 JF kisima cha elimu na burudani.Hata kwangu nakufukuza najua utakuwa mbabaishaji tu wewe tutasumbuana kwenye kodi, ila ukiwa hata na chases haina body hata kama ya maandolina , najua wewe mpambanaji
Ee baba pambana mkuu, gari ndio kila kitu mazeeUmetisha mkuu hata chasis yatosha [emoji28] [emoji23] JF kisima cha elimu na burudani.
Aisee mie nimewaza kwa mantiki hii, mtu aweza kuanza na chaja ya simu, kisha akanunua simu baadaye, au hata akaanza kutembea na funguo za gari, gari atanunua baadaye!
Everyday is Saturday................................😎
Kabla ya kununua Gari kaa chini na piga hesabu unataka kufikia wapi kwenye maisha yako? una malengo gani? na je gari itakusaidia kufikia malengo yako? kama unanunua gari kwa ajili kukwepa kupanda daladala, kujionyesha na wewe unazo, hapo umekosea na hio gari itakufanya maskini, number hazidanganyi kaa chini, piga hesabu ya kipato, gawanya kwa matumizi yako, ya maendeleo,ya kununua gari, na kulihudumia gari, ukipata jibu ndio ufanya uamuziAsikudanganye mtu wala kukutia moyo, kama wewe huna gari hata kama ni mkweche unahesabika ni fukara tu hata kama una nyumba 50, tafuta gari upate amani ya moyo na heshima kwa wakwe hata kama huna hela.
Muhimu kujilinda, korona ipo na inaua fuateni miongozo ya wataalam wa afya jamani.
Kzba.
Huna hela wwKabla ya kununua Gari kaa chini na piga hesabu unataka kufikia wapi kwenye maisha yako? una malengo gani? na je gari itakusaidia kufikia malengo yako? kama unanunua gari kwa ajili kukwepa kupanda daladala, kujionyesha na wewe unazo, hapo umekosea na hio gari itakufanya maskini, number hazidanganyi kaa chini, piga hesabu ya kipato, gawanya kwa matumizi yako, ya maendeleo,ya kununua gari, na kulihudumia gari, ukipata jibu ndio ufanya uamuzi
Usikute nina elimu kubwa kuliko ww, CpAt, MBA, unazo wewe..usikute ni tarishi tu mahakama ya kata mbesa hapa ndio maana una akili za kifukara, tafuta gari hueshimike ndugu yangu, hamna aliezikwa kwa heshima bila kuwa na gari, mfano kanumba alikuwa na collection ya mandinga lakini mama yake nyumba tumemjengea sisi na michango yetu
Nyumba, Shamba ni real estate Gari sio real.
Ulishaona nchi zinagombana Kisa Gari. Ika Ardhi ambayo Nyumba hujengwa.
Utajiri wa kupimwa na Gari ni utoto
Mungu mwenyewe alianza kumpa Adam na hawa makazi sio usafiri.
Pole sana,Huna hela ww
Nimepokea broBro usibishane na watoto,tunza energy ya kufanya yanayostahili kufanywa na watu makini
Uwezo wa watu kufikiri uko chini sana, hawajui hata kutofautisha liability na assetsBro usibishane na watoto,tunza energy ya kufanya yanayostahili kufanywa na watu makini
Usiagize we chukua kwa wahindi wacheza kamali wa pale fire wanauza bei ya kutupa hata ukiwa 3milion unapata mkwaju kurudisha heshima kwa wakwe, yangu walinizia milion 43 na ni mpya kabisa