kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 789
Asikudanganye mtu wala kukutia moyo, kama wewe huna gari hata kama ni mkweche unahesabika ni fukara tu hata kama una nyumba 50, tafuta gari upate amani ya moyo na heshima kwa wakwe hata kama huna hela.
Muhimu kujilinda, korona ipo na inaua fuateni miongozo ya wataalam wa afya jamani.
Kzba.
Muhimu kujilinda, korona ipo na inaua fuateni miongozo ya wataalam wa afya jamani.
Kzba.