Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
UKIONA MWANAMKE AMEKUBALI KUISHI NA WEWE UJUE KALAZIMIKA TU, ALIWATAMANI WENYE UWEZO ZAIDI YAKO ILA HAWAKUVUTIWA NAYE KUMUOA KAONA BORA AJISITIRI TU KWAKO MAISHA YAENDE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀angalia tenaNikiangalia kitabu changu kina Amehlo To yeye Aksha na wanawake wengine wamejaa tele
Sio kwa wanachokifanya kwa wanaume kutwa kututega na vigauni vifupi style za ajabu kwenye daladala wanakufuru kila sekunde inshort nyie ndio mnaoingiza dhambi duniani
Peeesaaapeeesa njooni nagawa pesa PM jinsi zote kwa masharti nafuu
Asiye jua maana haambiwi maana.......tuambie kitu bana!!!.....pengine kuna kitu tunakosea ktk kufikiri kuhusu nyie wanawake au wapenzi wetu niseme.....
Ila wigi unavaaa? Kama jibu yes basi kula konaNitoe hapo tafadhali....mie sivai vinguo vya mtego ....Afisa elimu alikatazwa🤒🤨
Shindwaaa shetani!!!Nikiangalia kitabu changu kina Amehlo To yeye Aksha na wanawake wengine wamejaa tele
Sio kwa wanachokifanya kwa wanaume kutwa kututega na vigauni vifupi style za ajabu kwenye daladala wanakufuru kila sekunde inshort nyie ndio mnaoingiza dhambi duniani
Peeesaaapeeesa njooni nagawa pesa PM jinsi zote kwa masharti nafuu
Dah kwa ulimwengu huu bado watu wanaamini kwamba wanawake wanapenda kweli?FILISIKA TUJUE TABIA YA MKEO
Kwamba umetubu 😂😂😂 utupe na vipodozi sasa😀😀😀😀😀angalia tena
🤣🤣🤣🤣Nitoe hapo tafadhali....mie sivai vinguo vya mtego ....Afisa elimu alikatazwa🤒🤨
Wanawake wote mmeona kimini tu ila ni moja ya mifano sio hiko tuShindwaaa shetani!!!
Na uzee huu kimini navalia wapi!!!
Vyote unavyowaza mie simo shetani!!Wanawake wote mmeona kimini tu ila ni moja ya mifano sio hiko tu
Alafu sishindwiiiiii
Swadaktaa, hawajui kupenda hao wanataka kibunda tu. Dawa yao ndo hiyo chakata mbususu piga chini chukua nyingine hautajuta mpaka unaingia kaburiniDah kwa ulimwengu huu bado watu wanaamini kwamba wanawake wanapenda kweli?
Wanawake wao ni kuwala mbususu tuu kulinga na uwezo wa mfukkonwako basi
Yaan kabisa 🤨🙄🤣🤣🤣🤣
Atutoe labisa wavaa haiba.
Sipaki vipodozi 😀😀😀😀Kwamba umetubu 😂😂😂 utupe na vipodozi sasa
Si ndo hapo😀😀🤣🤣🤣🤣
Atutoe labisa wavaa haiba.
🤸🤸😂😘👀👀 Anyway you can take it as jokes but u can see it laterVyote unavyowaza mie simo shetani!!
Fireeeeeeeeee!
Tena la joti....nakula kona maana shetani ni shetani tuIla wigi unavaaa? Kama jibu yes basi kula kona
....akutake radhi madam wangu....Nitoe hapo tafadhali....mie sivai vinguo vya mtego ....Afisa elimu alikatazwa🤒🤨
Kabisa....akutake radhi madam wangu....
SahihiMapenzi ya kweli utayapata ukiwa hauna kitu, ukishakuwa na pesa mapenzi yanageuka biashara.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app