Kipindi cha Hayati Magufuli ufisadi ulikuwa wa kutisha ila bahati yake tu alizima Vyombo vya Habari kumulika Ufisadi huo

Kipindi cha Hayati Magufuli ufisadi ulikuwa wa kutisha ila bahati yake tu alizima Vyombo vya Habari kumulika Ufisadi huo

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Akijiita mzalendo.Ruvuma kule Zito amesema Kuna mfanyabishara alizulumu mahindi ya wakulima mwaka 2020 akatokomea kusikojulikana na Serikali ya Wanyonge haikufanya kitu.
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Tumetoka Misri
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.

Naunga mkono hoja.
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Weka evidence ya huo ufisadi ili uonekane ni mtu mwenye akili timamu kaongea.
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Lakini miradi ilionekana
 
Back
Top Bottom