Jembe JPM bado anatawala hata akiwa kaburini
Nduli yeyote lazima akumbukwe kwa madhila aliyofanya. Mfano Odd amini na adofu Hitler Bado wanakumbukwa mpaka Leo kuliko hata rais aliyeko madarakaniJembe JPM bado anatawala hata akiwa kaburini
Nduli yeyote lazima akumbukwe kwa madhila aliyofanya. Mfano Odd amini na adofu Hitler Bado wanakumbukwa mpaka Leo kuliko hata rais aliyeko madarakani
Mseven na Amin wote ni madictator na museven Sasa ameona afiche udhaifu wake kwenye ushoga akidhani jamii angalau itamfuralia. Very trivial issues.Idd Amin historia yake imepotoshwa ni sawa na historia ya museven itakavyopotoshwa mbeleni. Kosa la Idd Amin ni kumchokoza Nyerere . VIVA JPM
Yeye mwenyewe alikuwa mpigajiHebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.
Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).
Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.
Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.
Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Mseven na Amin wote ni madictator na museven Sasa ameona afiche udhaifu wake kwenye ushoga akidhani jamii angalau itamfuralia. Very trivial issues.
Ukiona mtu anajadiliwa sana tena kwa ubaya wake hiyo siyo sifa Bali ni kuweka Msingi wa kitofanya makosa tena mbeleni kuwa na rais wa hovyo kama yule. Ukiona kiongozi yeyote anasifiwa tu na watu low brains ambao hawajui chochote ujue Kuna shida sana. Ndo mana Nyerere anapenda na wasomi n wanamjadili sana kupitia kigoda Cha mwl Nyerere udsm lakini jpm hawezi jadiliwa neverPole mkuu. Bravo JPM yaani upo kaburini ila bado unasikika duniani sasa akina londo ndo wameondoka wiki tu hakuna cha kujadiliwa. Legacy inaishi
Ukiona mtu anajadiliwa sana tena kwa ubaya wake hiyo siyo sifa Bali ni kuweka Msingi wa kitofanya makosa tena mbeleni kuwa na rais wa hovyo kama yule. Ukiona kiongozi yeyote anasifiwa tu na watu low brains ambao hawajui chochote ujue Kuna shida sana. Ndo mana Nyerere anapenda na wasomi n wanamjadili sana kupitia kigoda Cha mwl Nyerere udsm lakini jpm hawezi jadiliwa never
Viva ya nyokoViva JPM
Viva ya nyoko
Aliua uchumi lakini ukumbuke hiloR. I. P mwamba wa AFRIKA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI.
Raisi gani aliinua uchumi? Tangu uhuru?Aliua uchumi lakini ukumbuke hilo
Hivi ile trion 1.5 aliipelekaga wapi yule mzee fisadi no 1 wa kalne ya 21[emoji848]Mseven na Amin wote ni madictator na museven Sasa ameona afiche udhaifu wake kwenye ushoga akidhani jamii angalau itamfuralia. Very trivial issues.
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.
Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).
Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.
Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.
Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwa
Huna akiliHebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.
Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).
Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.
Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.
Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
VivaViva JPM
Hivi ile trion 1.5 aliipelekaga wapi yule mzee fisadi no 1 wa kalne ya 21[emoji848]
Kweli kuna watu hawana huruma duniani
Mix kumtoa CAG kwa kuibua uozo alioufanya[emoji24][emoji24]
Unsound mindedNilichokiandika hujakielewa kabisa. You might be insane