Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya Mjini.
Sanaa, burudani na mind games, then biashara.
Hakuna zaidi ya hilo
Sema naona ni kama mademu flani walioshindikana mtaani hao.demu mzuri huwezi kwenda kutafuta mwanaume mle kwenye TV show,hata wanaume wenyewe ni wale ambao hawana issue za maana mjini wapo wapo tu.
KinaitwajeCopy and paste kutoka kwenye kipindi kama hicho kutoka South Africa...
Kinaitwaje
Zile Ni familia kweli au watu tu wamepangwa?Kipo kingine DStv kinaitwa Date my family
maigizo yale, kama unafatilia vizuri utaona 'mzazi' au 'rafiki' anatokea kwenye show zaidi ya mojaZile Ni familia kweli au watu tu wamepangwa?
mkuu chagua mmoja uoe kabisaMkuu ile issue ni kweli mimi nafanya kazi katika hiyo chanel inayorusha hicho kipindi cha Mr Right
Ni mchongo hiyo sio kwelikuna mdada namuonaga toka Mr Right imeanza hadi nimeanza kuhisi ni mchongo tu
Atakuwa yule anaitwa Main Jackie huyo bila shaka. Demu mzuri ila anaonekana hana akili.kuna mdada namuonaga toka Mr Right imeanza hadi nimeanza kuhisi ni mchongo tu
Wale washkaji wanaokujaga pale aisee ni watu wa ajabu ajabu sana hadi unaelewa kwann wanawake hawa waelewi. Mara walie mara waseme mambo ya ajabu.Nimekosa nini katika hii dunia?
Watoto wa watu kutwa wanalilia nafasi leo hii nikatafute mke kwa tv kweli?
Huo utakuwa uzwazwa[emoji1787]
Hao ni wahuni wahuni navwauza sura tu mkuu.Wale washkaji wanaokujaga pale aisee ni watu wa ajabu ajabu sana hadi unaelewa kwann wanawake hawa waelewi. Mara walie mara waseme mambo ya ajabu.
Kuna m'moja alikuja anasema hajawahi ruka na demu ni bikra kwa miaka yote aliyoishi sasa hapo ndipo nikaona huu ni mtihani tena mkubwa.
Unataka kujua background ya mschana utaishia kulia tu. Watoto wa kike huwa wanasulubiwa sana hadi afikie umwoe weweUnapewa kapu tupu bila kujua background yake in short ni mapenzi ya tamaa za kingono sio mapenzi halisi...
Fuatilia waliotangulia kabla basya hao watakupa picha
Hakuna mapenzi hapo ni ngono ngono ngono na tamaa za kimwili wakishagongana kila mtu akaonja radha ya mwenzake anapita njia yake
Cc: bongo nyoso inamankusweke
Wewe unamsulubu mtoto gani wa kikeUnataka kujua background ya mschana utaishia kulia tu. Watoto wa kike huwa wanasulubiwa sana hadi afikie umwoe wewe