MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Mkuu watu wanafata mkumbo tu Bdozen ndio anakshfa hiyo ya ushogs nashangaa wanamchanganya adam mchomvuhuyo anayemsemea bwabwa ni kumi na mbili au ni mawenge yangu tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu watu wanafata mkumbo tu Bdozen ndio anakshfa hiyo ya ushogs nashangaa wanamchanganya adam mchomvuhuyo anayemsemea bwabwa ni kumi na mbili au ni mawenge yangu tu?
Pale wamtoe 12 wamuweke Musa Hussein, nafasi ya Adam mabangi acheze Kipanya muone chombo kitakavyosongaMzuka,
Nasikiliza Jahazi mda huu lakini sijui hawa jamaa na kipindi chao wanatangaza nini,
Mchomvu kweli ni changamoto vitu anavyoongea hadi wenzake wanapata shida.