Wamefanya modification... Wanakuja na NgaziKwangaziWaungwana wa huku naamini mambo mengi sana mjini kwetu Dsm mna ufahamu nayo!
Nilikuwa na shabiki sana wa Salama jabir na kilichokuwa kipindi cha Mkasi pale Eatv, sasa katika hizi siku za karibuni naona matangazo ya kitu ninachodhani ni dada kuja na kipindi kipya kiitwacho Ngazi kwa ngazi palepale Eatv kila alhamis.
Wajuvi mnieleweshe, inamaana MKASI ndio ushavunjika tena! Na vipi hiki kipindi kipya bado kitakuwa cha yuleyule founder AY!?
Ameshawahoji macelebrity wote wa bongo so kipindi kimeishaWaungwana wa huku naamini mambo mengi sana mjini kwetu Dsm mna ufahamu nayo!
Nilikuwa na shabiki sana wa Salama jabir na kilichokuwa kipindi cha Mkasi pale Eatv, sasa katika hizi siku za karibuni naona matangazo ya kitu ninachodhani ni dada kuja na kipindi kipya kiitwacho Ngazi kwa ngazi palepale Eatv kila alhamis.
Wajuvi mnieleweshe, inamaana MKASI ndio ushavunjika tena! Na vipi hiki kipindi kipya bado kitakuwa cha yuleyule founder AY!?
Hii lugha iliyotumika hapa kwa hakika nimeambulia patupu!Unajua mkasi hauwezi kufanya kazi mpaka kuwepo na mtu atie madole. Huyo mtu kachoka, sasa ni ngazi kwa ngazi hakuna kubebwa lazima upande mwenyewe.
Mbona unauliza maswali ambayo majibu yake utayapata siku ya alhamis na j3?!Waungwana wa huku naamini mambo mengi sana mjini kwetu Dsm mna ufahamu nayo!
Nilikuwa na shabiki sana wa Salama jabir na kilichokuwa kipindi cha Mkasi pale Eatv, sasa katika hizi siku za karibuni naona matangazo ya kitu ninachodhani ni dada kuja na kipindi kipya kiitwacho Ngazi kwa ngazi palepale Eatv kila alhamis.
Wajuvi mnieleweshe, inamaana MKASI ndio ushavunjika tena! Na vipi hiki kipindi kipya bado kitakuwa cha yuleyule founder AY!?
Acha utani bestStar Le Mutuz alishahojiwa kwenye Mkasi? Labda ilinipita hiyo.
Hahahhh. nashukuru umeandika 'mungu', ingekuwa 'Mungu' ningeogopa.Sema haki ya mungu!!!!!
Blogger maarufu sio star!Kwa hiyo Le Mutuzz king of all bongo social media kwako wewe sio star au vipi!!??
Acha hizo bana!!
Bongo hakuna super star zaidi ya king majuto...dogo nyanduBongo kuna star gani? Hebu watajeni. Sema kuna watu maarufu kina kingwendu, wemasepenga, wolper nk
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo reaction hahahaSema haki ya mungu!!!!!