Kipindi cha Mr Right mabinti hawataki waume wako kuuza sura tu. Gara B kama uko serious na kipindi hiki fukuza wote

Kipindi cha Mr Right mabinti hawataki waume wako kuuza sura tu. Gara B kama uko serious na kipindi hiki fukuza wote

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Nimefuatilia kwa wiki mfululiza sasa kipindi cha Mr Right kinachorushwa na Station ya Startimes kinachosimamiwa na MC Gara B.

Nilivyoangalia nimegundua mambo kadhaa ktk kipindi hicho

1. Wadada hawanauhitaji serious wa wanaume. Hivi kweli unaweza ku disqualify mwanaume eti kwa sababu anatumia pafume ambayo sio ile unayoipenda? Yani kweli mtu anakwambia et mimi napenda mwanaume anayetumia pafume fulani kwa hyo kama hutumii hiyo hapana. Serious kabisa? Eti binti anasema huyu kaka ni mzuri lkn tatizo ni kwamba anaoneka hajui kucheza mziki 🤣🤣🤣. Mwingine anasema et 'nimempenda lkn tatizo hana mke kwa hyo mimi nitakuwa mke wa kwanza wakati mimi nataka kuwa mke wa nne' serious kabisa? Mtu huyo bado unamuweka atafute mume?

2. Wanawake wengi pale ni ki uhalisia hawahitaji wanaume sema wapo tu waonekane tu maana kila mwanaume anayekuja wao hawamtaki. Yani they are there na wana disqualify kwa vigezo vidogo vidogo.

USHAURI
1. Hasa kwa Gara B na waendeshaji wa kipindi. Kuna wadada huku nje wako serious na wanataka waume kweli sasa unavyoendelea kuwaweka wale wale huku hawahitaji waume bi kuwanyima fursa wengine

2. Pawepo na muda wa mtu kushiriki ( kama kitu hiki kipo basi ni nzuri) muda huo ikipita ondoa leta mwingine naye ajaribu bahati maana wanaume tumekuwa adimu na kila siku tunapungua maana upinde unawachukua sana, sasa ukiona mtu anachezea fursa ampishe anayehitaji

3. Jifunze kidogo kwa Mr Right ya Kenya yaani wadada wako serious na wanaume ndio maana mwisho wa siku unakuta mwanaume ana option ya wanwake kama sita hvi yeye ndo anachagua.

........
NB: Vijana oeni huku kwenye ndoa tunafaidi sana
 
😀😀😀😀😀ulikataliwa au
 
Hao wanajishebedua tu lkn wanajua .

Wanajifanya Ili kuteka hisia za wakwale tu

Hamna kitu hapo

Umesahau nyege za ke zilivyo ww
 
Hizo pisi kali mtaani dawa yake ni kuzifuata huko huko mtaani. Siyo hadi waje kwenye kipindi.

Tatizo wanawake wamekuwa warahisi huku wanaume vocals hazina sumu tena.
 
Wenzio wako kwenye biashara kipindi chao kiuze we unaleta za ndwede ndwede

Mkuu ndwe ndwe haitafuti kwa warembo wauza sura kwenye tv

Mbona mtaani kuna pisi zina ndwede ndwede za moto afu safi tu
 
Nimefuatilia kwa wiki mfululiza sasa kipindi cha Mr Right kinachorushwa na Station ya Startimes kinachosimamiwa na MC Gara B.

Nilivyoangalia nimegundua mambo kadhaa ktk kipindi hicho

1. Wadada hawanauhitaji serious wa wanaume. Hivi kweli unaweza ku disqualify mwanaume eti kwa sababu anatumia pafume ambayo sio ile unayoipenda? Yani kweli mtu anakwambia et mimi napenda mwanaume anayetumia pafume fulani kwa hyo kama hutumii hiyo hapana. Serious kabisa? Eti binti anasema huyu kaka ni mzuri lkn tatizo ni kwamba anaoneka hajui kucheza mziki 🤣🤣🤣. Mwingine anasema et 'nimempenda lkn tatizo hana mke kwa hyo mimi nitakuwa mke wa kwanza wakati mimi nataka kuwa mke wa nne' serious kabisa? Mtu huyo bado unamuweka atafute mume?

2. Wanawake wengi pale ni ki uhalisia hawahitaji wanaume sema wapo tu waonekane tu maana kila mwanaume anayekuja wao hawamtaki. Yani they are there na wana disqualify kwa vigezo vidogo vidogo.

USHAURI
1. Hasa kwa Gara B na waendeshaji wa kipindi. Kuna wadada huku nje wako serious na wanataka waume kweli sasa unavyoendelea kuwaweka wale wale huku hawahitaji waume bi kuwanyima fursa wengine

2. Pawepo na muda wa mtu kushiriki ( kama kitu hiki kipo basi ni nzuri) muda huo ikipita ondoa leta mwingine naye ajaribu bahati maana wanaume tumekuwa adimu na kila siku tunapungua maana upinde unawachukua sana, sasa ukiona mtu anachezea fursa ampishe anayehitaji

3. Jifunze kidogo kwa Mr Right ya Kenya yaani wadada wako serious na wanaume ndio maana mwisho wa siku unakuta mwanaume ana option ya wanwake kama sita hvi yeye ndo anachagua.

........
NB: Vijana oeni huku kwenye ndoa tunafaidi sana
Mtoa mada na wewe unataka mume?
 
South Africa kipindi chao wanakiendesha kwa uhalisia zaidi...
 
Ata kama ni scripted ila jua ndio uhalisia wenyewe huo wa mabinti wengi wa kibongo. Wanaweza kumtolea nje mtu sahh Kwa sababu zisizokuwa na logic
 
Hii yetu ni utopolo, imekaa kimaigizo sana haina uhalisia. show nzuri ni ile ya nigeria, kenya na south.
 
Back
Top Bottom