Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
Naamini JF ni home of great thinkers,unakopatikana uchambuzi na ufafanuzi wa hoja kwa kutumia mifano hivyo naona niilete hoja hii iweze kuchambuliwa.
Wote tunakubaliana ,kwamba kipindi cha miaka 1000 kinaitwa Millenium,miaka 100 Century, miaka 10 decade mwaka unaitwa year wenye miezi 12 ,sasa iweje miezi itofautiane idadi za siku? Yaani 28 au 29 au 30 na 31 na isifanane?
Hata tukiangalia vipindi vidogo navyo vinafanana mfano dakika zote zina seconds 60, siku zote masaa 24 wiki zote siku saba kwanini idadi ya siku katika miezi isiwe sawa? Kwa mantiki hio je ni sahihi kusema mwezi mmoja una siku ngapi ,karibuni
Wote tunakubaliana ,kwamba kipindi cha miaka 1000 kinaitwa Millenium,miaka 100 Century, miaka 10 decade mwaka unaitwa year wenye miezi 12 ,sasa iweje miezi itofautiane idadi za siku? Yaani 28 au 29 au 30 na 31 na isifanane?
Hata tukiangalia vipindi vidogo navyo vinafanana mfano dakika zote zina seconds 60, siku zote masaa 24 wiki zote siku saba kwanini idadi ya siku katika miezi isiwe sawa? Kwa mantiki hio je ni sahihi kusema mwezi mmoja una siku ngapi ,karibuni