Kipindi Cha "WATUBAKI" Cha Dstv Kijirekebishe Waache kutumia Lugha zenye Maudhui ya Kingono na Matusi

Kipindi Cha "WATUBAKI" Cha Dstv Kijirekebishe Waache kutumia Lugha zenye Maudhui ya Kingono na Matusi

Kwani mkuu ulienda kuangalia Commedy au ulienda kusikiliza mahubiri...

Na usiku huo mtoto wa nini kwenye show ina maana hujui kuwa mtoto Ni marufuku kuwa Kwenye kumbi za starehe kisheria zaidi ya saa 12 ....
Hapa umeonyesha ulivyo irresponsible father..

Na kama ni kipindi kiko saa nne unawezaje kumuacha mwanao kwenye Tv mpaka saa nne...
Kwahiyo kama ni Comedy ndo iruhusu maneno ya hovyo !! Huna akili
 
Cheka tuu walikuwa wanatumia nguvu nyingi mno ila hakuna kitu mule, watubaki wako vzr pamoja na mapungufu yao lkn unaweza kufuatilia ht ukiwa umefumba macho na ukafurahi
Kabsa Ukiachilia mbali hizo kauli za Hovyo ila Watubaki wanafanya vizuri kuliko wale Cheka Tu.
 
Kwani mkuu ulienda kuangalia Commedy au ulienda kusikiliza mahubiri...

Na usiku huo mtoto wa nini kwenye show ina maana hujui kuwa mtoto Ni marufuku kuwa Kwenye kumbi za starehe kisheria zaidi ya saa 12 ....
Hapa umeonyesha ulivyo irresponsible father..

Na kama ni kipindi kiko saa nne unawezaje kumuacha mwanao kwenye Tv mpaka saa nne...
Hata kama watoto hawapo kutumia lugha za matusi ni ujinga,na wewe usiwe mjinga kiasi hicho kutetea ujinga
 
Mara nyingi tunafanyia PSSSF COMERCIAL COMPLEX ,lakini millennium towers hatujawahi fanyia ,karibuni mwezi huu show tarehe 22 December 2023 ,Kiingilio VVP 50K ,VIP 25K na Regular 15K tickets zinapatikana application na otapp.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Acheni lugha za matusi
 
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
Mashoga wanajua kutukana jamani Loh!😏
 
niliona watoto wangu wanaangalia, kuna kipindi nikasema nikae nao niangalie nini wanakifurahia. mle ndani kuna maaudhui ya ngono sana na watu ndio wanapenda. maneno yanayochafua nafsi, watu wanatafuta kucheka/furaha toka kwa wanadamu, wanatafuta moyo wenye amani toka kwa wanadamu, wamesahau kwamba Yesu Kristo ndiye mfalme wa Amani na ni Mungu mwenye nguvu. amani yake atupayo sio kama ile ulimwengu utoavyo.

naasa tuwe makini sana na movie, tamthilia na series n.k, shetani ameingia sana. hasa wewe mtu wa Mungu, uwe makini kwasababu anachokifanya shetani ni kukurushia matone ya uchafu kidogokidogo baadaye utakuwa used to it na mlango wa yeye kuingia kwako utakuwa umefunguliwa, na hapo ndipo utakapopotea. wewe jiulize, hata ile wanaita JUAKALI ya dstv, na tamthilia nyingiii ambazo watu wanasema ni nzuri, KWANINI MLE NDANI LAZIMA AWEPO MWANAUME WALAU MMOJA ANAYE ACT KAMA SHOGA? wana mkataba gani na shetani? au freemason au chochote? kwanini tamthilia hata iwe vipi lazima mle ndani awepo mwanaume anayerembuarembua na kubehave kama mwanamke? why? na kwanini hizo ndizo zinazohit sana? zina upako toka wapi? upako huo ndio wewe ukiangalia sana unaambukizwa na baadaye unaenda kutenda dhambi kwa mlango ulioufungua wewe mwenyewe. Mungu awasaidie.
 
Back
Top Bottom