Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Mkuu hatuko hapa kudharauriana tuko hapa kupeana ukweli ili watu tupambane kutoka uswazi tupeleke familia zetu maeneo mazuri.Halafu baba mwenye nyumba kuli wa Bandari! Patamu hapo!!
Umekaa mbele ya Daladala Aina ya EICHER Tena umewahi siti unajiona mjanja kupiga picha za maghorofa zisizokuhusu.Hii siyo posta ni Temeke .sasa jiulize uliyoandika ni sahihi. View attachment 1624858
Nashangaa analeta Mambo ya majengo wakati mada ilikuwa sio majengoTeee! tee! Mleta Mada Sofia House hii ! iko karibu na waridi za Ilala, mpaka ilibidi uwe mbele ya Taifa, looote hili ni eneo la viwanda tatizo je hizi hela za walipa majengo kwa nini haziwaendeleziii wa TMK? Na wamilki Mijengo wote wametokea Ilala na Kinondoni, wana tumia hela walizo chuma tmk wilayani Kinondoni Oyster Bay, hata waliopanga kwenye hizi ofisi wana kaa Ilala . haf mna chagua ccm
Viongozi wote na Ma-Rais wote Duniani km Obama, Bush, wanakaribishwa kulala, kula, kujifurahisha Kinondoni na Ilala, sometimes Arusha. wakitoka, Sabasaba, Taifa stadium tu safari Ilala, Kinondoni. hivi kuna five star Hotel kweli TMK?
Hata wasanii wa Kidunia na injili wa TMK hawataki kukaa huko labda Juma nature tu!! na wakiendekeza kukaa TMk watakufa kimuziki kikawaida sana na hawatanyanyuka, uongo? Afande sele alikuwa ana shinda paleee! kilima nyege anuse tu harufu ya Masaki!
Angalia Makanisa ya kilokole yanayorindima Jijini na yenye Afya na sadaka kubwa/ ni Kinondoni, Ilala. yaani wenyeji wa tmk wengi mnasali Kinondoni huko mnatoa zaka na sadaka. chunguza!!
Wachungaji wa kinondoni shavu dodo, hata serikali inawaogopa, lkn wa TMK km Gamanywa wamekondaa!!! waumini hawana kitu. wenye kitu wanaenda Kinondoni.
Hiyo kigamboni ilikuwa ni wilaya ya temeke usijisahulishe kabla haijatengwa.Nyaru-sare unapozungumzia miundombinu mfano stend,
Ubungo bus terminal iliyokuwa inaingiza na kutoa mabasi mikoa yote ilikuwa hali mbaya.
Mashimo mashimo,uchafu,usimamizi mbovu n.k
Ilikuwa ktk hali mbaya na mbovu ya kutia aibu.
Vitega uchumi na mapato yalikuwa yanae da wapi?
Upigaji uko kila mahali.
Nimepata mshtuko mkubwa Ubungo Bus Terminal leo alfajiri!
Ilikuwa ni saa kumi na robo alfajiri ya leo, mlio wa simu yangu unanikurupusha toka usingizini, nakumbuka nina appointment ya kumfuata bibi yangu nyumbani alikokuwa amefikia na kumpeleka Ubungo bus terminal tayari kwa safari ya kurudi Kondoa. Ile naingia pale getini tu, nikapigwa na butwaa...www.jamiiforums.com
Ndo kwanza awamu hii ya serikali ikaiona hilo na kuachana nayo kujenga nyingine.
Afu na wewe unaingia mkenge wa hii mada,niambie stendi ipi ni nzuri na bora ambayo haina changamoto km hizo za mbagala?
Ushaenda stend ya kigamboni ferry?
Na nyingine nyingi?
Ushaingia stendi ya Tegeta nyuki?
Mbona mnaongea nonsense
Miundo mbinu kimsingi kwa dar nzima baaado sana.
Msilete upuuzi.
Stend nzuri angalau ni za kuhesabu,Chache mno.
Simu 2000,
Makumbusho nayo sasa ni hovyo.
Ukigusia swala la miundo mbinu ni pana sana,tena sio la kuchekana.
Kila mahali kunachangamoto mbalimbali za kimiundo mbinu,kila awamu wanajitahidi kupunguza kwa awamu,
Mfano usafiri wa kugombania na stendi.
Sasa kuna mradi wa mwendokasi Mbagala.
Kwa hivyo Dar hakuna sehemu ambayo iko salama na mwanana kwa Miundombinu.
Dah...Wilaya masikini kabisa kwa mkoa wa Dar es Salaam ni Temeke, wilaya yenye watu duni kabisa ni Temeke, wilaya iliyochelewa kabisa kimaendeleo ni Temeke.
Hata mipango na miundombinu duni kabisa ni Temeke. Inaongoza kwa uchafu pia.
Jambo la kushangaza nimepita soko Tandika kuna mitaa imepangwa mingi ni michafu sana ni michache ina lami lakini hakuna mitaro ya maji hata m1.
Hata barabara inayokatiza kwenda Buza japo ni njia kuu lakini hakina mitaro. Kukosekana kwa mitaro kumefanya maji yatuame sehemu moja na kuchimba hapo na kukaa muda mrefu kutoa harufu mbaya na kuaribu barabara yenyewe.
Ukitoa soko la Kariakoo linafuata la Tandika lakini hakuvutii kabisa. Sehemu pekee unayoweza kukaa kwenye wilaya hii ni Mtoni Kijichi tu lakini Tandika na Mbagala zimechelewa sana kuendelea.
Serikali inapaswa kuangalia maeneo haya kwa mbele zaidi kwani ni miji na masoko yanayokuwa kwa kasi sana lakini miundombinu inaweza kuwakatisha tamaa wawekezaji wanaotaka kuwekeza maeneo hayo.
Kapata fursa ya kuwahi siti kaona aturingishie picha za Sofia house maana leo hajashika bomba za EICHER kuanzia Makumbusho Hadi majimatitu.Kwahiyo mkuu hapo mr discount na sofia house ndio magorofa mnayotambia temeke??
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huo ni mradi wa World Bank unaitwa Dar Es Salaam Metropolitan project. Project ilianza kuanzia kipindi Cha kikwete ila utekelezaji umefanyika awamu ya 5 ilivyoingia madarakani.Dah...
Nimepita mwananyamala nimeshangaa, yaani barabara za lami na zege mpaka mitaa ya uswahilini kabisa. Mbunge wao na madiwani kweli wamefanya kazi. Barabara za kisasa na mitaro ya maji...
Hatari sana, sijaamini
Kwa kweli nimeshangaa sana. Sikupita mwananyamala ndani ndani kitambo sana. Yaani ni barabara haswa na ziko uswahilini, kinondoni ya mwenge na kuendelea imesahaulika nayo..Huo ni mradi wa World Bank unaitwa Dar Es Salaam Metropolitan project. Project ilianza kuanzia kipindi Cha kikwete ila utekelezaji umefanyika awamu ya 5 ilivyoingia madarakani.
Chakushangaza zaidi ya asilimia 80 ya hizo hela zimeelekezwa wilaya za kinondoni na ilala na ukiwaambia watu wa temeke kuwa wako nyuma kimaendeleo wanakuja hapa kuanza kutuita eti tunawatukana.
Ingia hapa usome Mambo yote na updates za huo mradi Hadi hela iliyobaki kumaliza project nzima TANZANIA. Dar es Salaam Metropolitan Development Project
Nimepitia link, yaonekana ni mkopo lakiniHuo ni mradi wa World Bank unaitwa Dar Es Salaam Metropolitan project. Project ilianza kuanzia kipindi Cha kikwete ila utekelezaji umefanyika awamu ya 5 ilivyoingia madarakani.
Chakushangaza zaidi ya asilimia 80 ya hizo hela zimeelekezwa wilaya za kinondoni na ilala na ukiwaambia watu wa temeke kuwa wako nyuma kimaendeleo wanakuja hapa kuanza kutuita eti tunawatukana.
Ingia hapa usome Mambo yote na updates za huo mradi Hadi hela iliyobaki kumaliza project nzima TANZANIA. Dar es Salaam Metropolitan Development Project
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kapata fursa ya kuwahi siti kaona aturingishie picha za Sofia house maana leo hajashika bomba za EICHER kuanzia Makumbusho Hadi majimatitu.
Yes ni mkopo phase II ya huo mradi imeshafika Arusha, Barabara za uswazi nazo huko zimetapakaa lamiNimepitia link, yaonekana ni mkopo lakini
Leo Dar imenyesha mvua hapa ni Tandika Davis cornerNashangaa analeta Mambo ya majengo wakati mada ilikuwa sio majengo
Hali halisi ni hii. Mafuriko tupo hapoUmekaa mbele ya Daladala Aina ya EICHER Tena umewahi siti unajiona mjanja kupiga picha za maghorofa zisizokuhusu.
Leteni maisha halisi na sisi tukianza kuleta picha za maghorofa si utakimbia.
Tanzania nzima Hakuna mtaa mzuri Kama Dar Silcon Valley ( Sijui hata Kama unaufahamu).. ila sikutaka kuleta Mambo ya majengo ambayo hayatuhusu katika maisha yetu mimi na wewe.
Ngoja Sasa nikuwekee picha halafu ulinganishe na hayo magofu uliyopost hapa kutoka temeke.
Kumbuka hizi picha ni za mtaa mmoja wa Dar Silcon Valley wilaya ya kinondoni. Hata huelewi lolote zwazwa wewe.
Sasa nakuomba acha kuleta picha za majengo hapa. Tujikite kwenye mada.View attachment 1625011View attachment 1625012View attachment 1625013View attachment 1625014
Hongereni kwa miradi safiUmekaa mbele ya Daladala Aina ya EICHER Tena umewahi siti unajiona mjanja kupiga picha za maghorofa zisizokuhusu.
Leteni maisha halisi na sisi tukianza kuleta picha za maghorofa si utakimbia.
Tanzania nzima Hakuna mtaa mzuri Kama Dar Silcon Valley ( Sijui hata Kama unaufahamu).. ila sikutaka kuleta Mambo ya majengo ambayo hayatuhusu katika maisha yetu mimi na wewe.
Ngoja Sasa nikuwekee picha halafu ulinganishe na hayo magofu uliyopost hapa kutoka temeke.
Kumbuka hizi picha ni za mtaa mmoja wa Dar Silcon Valley wilaya ya kinondoni. Hata huelewi lolote zwazwa wewe.
Sasa nakuomba acha kuleta picha za majengo hapa. Tujikite kwenye mada.View attachment 1625011View attachment 1625012View attachment 1625013View attachment 1625014
Sikulaumu wewe ni mgeni wa hakuna wilaya kwa dar inayoongoza mapato na kutoa vioaj kama temeke still si temeke ndo kubaya na duni wilaya zote zipo sehem hizo k.ndon nenda mwananyamala tandale kwa tumbo kimara huko mabonde kuinama ilala nenda vingunguti huko kiwalan bugurun kwa mnyaman spenko balaa kote wewe limbuken shemej yako anakaa magomen umetoka huko kukilyungu imefikia hapo bas umemaliza umeenda nyuma ya kiwanda cha bia ilalaWilaya masikini kabisa kwa mkoa wa Dar es Salaam ni Temeke, wilaya yenye watu duni kabisa ni Temeke, wilaya iliyochelewa kabisa kimaendeleo ni Temeke.
Hata mipango na miundombinu duni kabisa ni Temeke. Inaongoza kwa uchafu pia.
Jambo la kushangaza nimepita soko Tandika kuna mitaa imepangwa mingi ni michafu sana ni michache ina lami lakini hakuna mitaro ya maji hata m1.
Hata barabara inayokatiza kwenda Buza japo ni njia kuu lakini hakina mitaro. Kukosekana kwa mitaro kumefanya maji yatuame sehemu moja na kuchimba hapo na kukaa muda mrefu kutoa harufu mbaya na kuaribu barabara yenyewe.
Ukitoa soko la Kariakoo linafuata la Tandika lakini hakuvutii kabisa. Sehemu pekee unayoweza kukaa kwenye wilaya hii ni Mtoni Kijichi tu lakini Tandika na Mbagala zimechelewa sana kuendelea.
Serikali inapaswa kuangalia maeneo haya kwa mbele zaidi kwani ni miji na masoko yanayokuwa kwa kasi sana lakini miundombinu inaweza kuwakatisha tamaa wawekezaji wanaotaka kuwekeza maeneo hayo.
Kiumeni napafahamu maana sehemu kusema unaijua bhasi lazma chochoro zote na mitaa uijueWewe mtoto wa kishua unakujua hata Temeke kwenyewe au unatuchora tu.
[emoji12][emoji12]
Eti temeke inaongoza kwa mapato kwa kutoa vipaji, hivi hizo bangi hapo Mbagala zakhiem bado mnazitafunaSikulaumu wewe ni mgeni wa hakuna wilaya kwa dar inayoongoza mapato na kutoa vioaj kama temeke still si temeke ndo kubaya na duni wilaya zote zipo sehem hizo k.ndon nenda mwananyamala tandale kwa tumbo kimara huko mabonde kuinama ilala nenda vingunguti huko kiwalan bugurun kwa mnyaman spenko balaa kote wewe limbuken shemej yako anakaa magomen umetoka huko kukilyungu imefikia hapo bas umemaliza umeenda nyuma ya kiwanda cha bia ilala