Kipindi Mnyama akigawa dozi Shamba la Bibi.. Yanga waendelea kugeuzwa Punching Bag.

Kipindi Mnyama akigawa dozi Shamba la Bibi.. Yanga waendelea kugeuzwa Punching Bag.

Mnyama aunguruma leo Taifa, baada ya kuwapigisha kwata la kutosha 'wajeda' wa Ruvu Shooting. Leo tumetakata vya kutosha, nadhani Tanzania imeona, Dunia imeona. Simba SC imeshinda goli 2-1.
Wafungaji wa mechi ya leo ni Ajibu na 'homa ya jiji' Mavugo.

Huko Mtwara, Wazee Wa Kimataifa wameendelea kugeuzwa punching bag, baada ya kutoka suti na Ndanda.
Ikumbukwe ni hawa hawa Ndanda waligongwa 3-1 na Mnyama katika mechi ya ufunguzi wa ligi kuu Msimu huu wa 2016/2017.

Nadhani sasa mmeanza kuamini yale maneno ya kocha bora kabisa toka nchini Kameruni, kua kuna matatizo madogo madogo anayafanyia kazi, ndani ya mechi tatu au mbili.. Ole wake tutakayekutana nae baada ya hizo mechi.

Shikamoo Joseph Marius Omog.


Mnyama kasara lazima wakae walichonga sana
 
Ndio tatizo tunalolifanyia kazi.. Baada ya mechi ya Azam na Mtibwa.. ndo uje na hii kauli yako.
Hahahaha basi hata Leo mngefunga magoli mengi. Ngoja tuone maana ligi bado sana hii
 
Ki ukweli wachezaji Yanga wamechoka na wanahitaji mapumziko!

Wamechoka Kivipi?? inaonesha Kabla Ya Msimu Badala Ya Kujiandaa Kwa Mazoezi Walikuwa Wakijiandaa Kwa Kupiga Puchu Ndiyomaana Wakachoka!!
Simba Rarua Kila Atakayejitia Kiherehere! Tuwaache Wa Kimataifa Wa Dimbwi la Jangwani Wajinadi Kujenga Uwanja Hewa
 
Mnyama aunguruma leo Taifa, baada ya kuwapigisha kwata la kutosha 'wajeda' wa Ruvu Shooting. Leo tumetakata vya kutosha, nadhani Tanzania imeona, Dunia imeona. Simba SC imeshinda goli 2-1.
Wafungaji wa mechi ya leo ni Ajibu na 'homa ya jiji' Mavugo.

Huko Mtwara, Wazee Wa Kimataifa wameendelea kugeuzwa punching bag, baada ya kutoka suti na Ndanda.
Ikumbukwe ni hawa hawa Ndanda waligongwa 3-1 na Mnyama katika mechi ya ufunguzi wa ligi kuu Msimu huu wa 2016/2017.

Nadhani sasa mmeanza kuamini yale maneno ya kocha bora kabisa toka nchini Kameruni, kua kuna matatizo madogo madogo anayafanyia kazi, ndani ya mechi tatu au mbili.. Ole wake tutakayekutana nae baada ya hizo mechi.

Shikamoo Joseph Marius Omog.


Mkuu hilo jina kwa sasa limekatazwa... ni uwanja wa Uhuru tu
 
Hizi mbwembwe zako hazijaanza leo msimu wa 4 mfululizo unaanza kupiga kelele ligi ikichanganya unajipiga ban mwenyewe

Amini nakuambia Msimu huu ni kanyaga twende mpaka ligi inaisha .. Kipindi sisi tunadili na mambo tunayofanya uwanjani.. nyinyi endeleeni kukumbuka historia.
 
Back
Top Bottom