Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
aliwahi kuua ukafufukaMuuaji anapumzikaje kwa mfano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliwahi kuua ukafufukaMuuaji anapumzikaje kwa mfano?
Kwani Ben Saanane anasemaje?aliwahi kuua ukafufuka
Utakufa kifo kibaya sanaIla Jiwe kwa nini hakusema mapema kuwa limoyo lake ni libovu
Nawe ufa winyakoUtakufa kifo kibaya sana
CCM ni watu wanafiki balaa!! Kwa mfano sasa hivi hutasikia tena neno mabeberu
Yule profesa wa jalalani ndiye alikuwa kinara wa kutamka mabeberu. Siku hizi kimyaaaaCCM ni watu wanafiki balaa!! Kwa mfano sasa hivi hutasikia tena neno mabeberu
Ukiona jitu halimpendi Magu jua jizi tu.Hii ndio hangover ya dictatorship
Hitler mpaka leo kuna watu wanaweka sanamu yake na wanaipigia magoti kuisalia all across the world
Huyo ni Hitler
Magufuli mtamuabudu for the long long time mpaka nyie kizazi mlichofaidika na udhalimu wake muende kaburini watoto wenu ndio wabaki
Nyie hata mfanyweje,hamuwezi acha kumuabudi huyu dikteta just like Hitler worshippers today.
Yaani mtu uko hapa unawacheka wanao-exercise freedom and democracy?
Watu wanyamaze,wapigwe,waonewe alimradi wewe huguswi?
Siku unaguswa ndio unajua what we are talking about
The good thing,dikteta la dunia limekufa,vimebaki vifaranga vyake kama wewe
Wewe ni meneja wa masaburi tu Na utakuwa Na faili Mirembe bila shaka; sio Kwa akili hiyoo!Kipindi mzee wangu JPM yupo walikua hawaongei ameondoka Sasa ndio wanajidai wanajua kutumia maiki.
Watu hadi wanatunisha mishipa na misuli kama yote. Mpaka unaweza kukimbia yaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msitufokeee bhanaaa, kama mlikua na ubavu mngezungumza kipindi yupo, huo ndio uanaume kinyume na hapo mnatufokea bureeee.
Mwanaume anaongea hapo hapo hasubiri mtu aondoke ndio anaanza kutupigia kelele kazi kufokeana tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aseee.
Mzee wetu amefanya kazi kubwa anastahili aendelee kupumzika kwa amani. Amina.