Wabongo buana, mnapenda kujiona keki wakati nyie ni mihogo tu, tena ya sumu. Cholera outbreak kills 18 in central Tanzania since October - Xinhua | English.news.cn Hivi mnajua kwamba Tz ipo kwenye Top 10 ya orodha ya nchi ambazo wananchi wake wanaongoza duniani kwenye kushusha ule mzigo ambao huwa unaotoa mvuke hadharani, vichakani n.k?
.Wabongo buana, mnapenda kujiona keki wakati nyie ni mihogo tu, tena ya sumu. Cholera outbreak kills 18 in central Tanzania since October - Xinhua | English.news.cn Hivi mnajua kwamba Tz ipo kwenye Top 10 ya orodha ya nchi ambazo wananchi wake wanaongoza duniani kwenye kushusha ule mzigo ambao huwa unaotoa mvuke hadharani, vichakani n.k?
Wao hujivunia Nairobi na Nakuru basiYaani hawa nyang'au ni shida sana!
Yarudi wapi!?
Wanakunywa tope!
hii inasadifu vizuri sana maana ya dola la KUNYALANDKenya ni nchi ya nne Africa kwenye nchi zinazo ongoza kwa cholera outbreaks.
View attachment 1501083
HAWA NDIYO WAJINGA WANAOTAKA KUJILINGANISHA NA DOLA KUU? HAHAHAHHAH