GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Kati ya magonjwa ya aibu, mojawapo ni Kipindupindu.
Kimsingi, mtu anayeugua Kipindupindu ni mtu aliyekula MAVI.
Mazingira ya kula mavi yanaletelezwa na uchafu na kunya kunya hovyo!
Ukitaka kupima ustaarabu au kupevuka kiakili kwa jamii yoyote, au mahali popote, anza na mahali wanapotoa haja.
Ukiona watu wanakunya kunya hovyo ujue bado mno, kichwani ni sifuri tupu.
Kimsingi, mtu anayeugua Kipindupindu ni mtu aliyekula MAVI.
Mazingira ya kula mavi yanaletelezwa na uchafu na kunya kunya hovyo!
Ukitaka kupima ustaarabu au kupevuka kiakili kwa jamii yoyote, au mahali popote, anza na mahali wanapotoa haja.
Ukiona watu wanakunya kunya hovyo ujue bado mno, kichwani ni sifuri tupu.