Kipindupindu (uchafu), gharama za maisha, uzamani na ubovu wa ICT, vyawakimbiza watalii Kenya

Kipindupindu (uchafu), gharama za maisha, uzamani na ubovu wa ICT, vyawakimbiza watalii Kenya

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Kuna msemo wa waswahili usemao kwamba " siku ya kufa nyani, miti yote huteleza". Uchumi wa Kenya umeendelea kupata taabu kutokana na matatizo lukuki. Kenya imepoteza mvuto kwa watalii kutokana na kukumbwa na kipindupindu Mara kwa Mara kwa jiji la Nairobi kunakosababishwa na uzembe wa serikali ya Kenya.

Kitu kinachoshangaza ni pale Wakenya kupenda kujisifia kwamba wapo mbele sana katika ICT, kumbe ni domo tupu. Kenya ni miongoni mwa nchi zilizo nyuma sana katika mambo ya ICT kwa ujumla, kati ya nchi 140 dunia, Kenya ni namba 106, Ethiopia 101, na Tanzania 95.

=====

High prices take the shine off tourism as Kenya slips in ranking

Concerns about high pricing and bad environmental practices have hit Kenya’s tourism competitiveness ranking for 2019, a new report shows.

Kenya slipped two spots to 82nd position compared to the previous year, according to a Tourism Travel Competitiveness survey by the World Economic Forum (WEF).

The country was early this year on the spotlight after recurrent outbreak of cholera killed six people, none of them tourists — prompting the government to raise an alert in five counties — Narok, Kajiado, Nairobi, Garissa and Machakos — besides slapping a ban on roadside eateries.

Several restaurants including, outdoor catering service firms and a hospital were affected by the disease, which is spread by ingesting contaminated food, causing acute complications that can kill within hours if not treated.

Nairobi also reported an outbreak of cholera in 2017 with at least four people killed and dozens more treated, causing authorities to shut down some restaurants.

Apart from concerns about hygiene, Nairobi has been steadily climbing as one of the most expensive destinations in the world over the years.

The exchange rate of the Kenyan shilling, which has generally held stable against the US dollar, has also played a significant part in the ranking that sets Nairobi apart as the costliest in East Africa and 14th in Africa.

The WEF Tourism Competitiveness survey, which covered 140 countries, shows Kenya also lags in tourist service infrastructure and ICT readiness, resulting in its decline in the overall enabling environment ranking.

Despite being dubbed a “Silicon Savannah”, Kenya ranked 106 globally in ICT preparedness, which measures not only the existence of modern hard infrastructure (i.e. mobile network coverage and quality of electricity supply), but also the capacity of businesses and individuals to use and provide online services.

Kenya gained ground in the safety and security segment by 10 points — showing improvement in costliness of common crime and violence as well as terrorism, and the extent to which police services can be relied upon to provide protection from crime. However, tourism numbers saw a decline during the first half of 2019.

Terror attack
Latest tourism data shows that visitors fell from 927,797 to 921,090 for the first half of the year.
This may be attributed to the terror attack that happened at Riverside14, a mixed-use development in Nairobi in January.
PwC Hotels Outlook: 2019—2023: South Africa — Nigeria -Mauritius — Kenya — Tanzania, had predicted a short-term dampening on demand to travel to Kenya, projecting a 13.6 percent decline in 2019.

“In Kenya, the period of peace and security was interrupted in early 2019 by a terrorist attack that may lead to a drop in tourism and guest nights.

Thereafter, assuming confidence in overall security is not impacted, Kenya’s appeal as an adventure destination, with more flights, and new hotels will continue to grow,” reads the PWC report.
“Thereafter, we project a pickup in tourist arrivals beginning in 2020. For the forecast period as a whole, we project arrivals to increase at a 1.3 percent compound annual rate to 2.16 million in 2023 from 2.025 million in 2018,” forecasts the report.

Prioritisation of tourism and travel remains a strong point for Kenya where it ranked 21st globally.
“By making clear that the sector is of primary concern, the government can channel funds to essential development projects and coordinate the actors and resources necessary to develop the sector.
Signalling the stability of government policy can affect the sector’s ability to attract further private investment,” reads the report.

Increased investment
There has been increased investment in the segment especially by international chains signing up for new properties in a race for the business tourism segment.

Nineteen hotels are expected to come to Kenya shortly, with a total of 3,453 new rooms in the pipeline, according to a report by Lagos-based consultancy W-Hospitality Group.

This coupled with natural resources, which include UNESCO natural World Heritage sites, a measure of the quality of the natural environment which proxies the beauty of its landscape, the richness of the fauna in the country as measured by the total known species of animals, and the percentage of nationally protected areas, which proxies the extent of national parks and nature reserves. Kenya ranked 18 in the category.

Despite Kenya’s decline in overall ranking in the WEF report, the hotel market in Kenya benefited from an increasing number of foreign tourists as travel advisories were lifted and the country enjoyed a period of peace and security.

Improved drinking water

“Access to improved drinking water and sanitation is important for the comfort and health of travellers. In the event that tourists do become ill, the country’s health sector must be able to ensure they are properly cared for, as measured by the availability of physicians and hospital beds,” explains the report.

“In addition, high prevalence of HIV and malaria can have an impact on the productivity of the tourism and travel labour force and play a role in discouraging tourists from visiting a country.”

Environmental sustainability continues to be a major challenge for the country, which has been struggling with rampant deforestation and increased pollution of its water bodies.

According to the World Bank data, in 2015 Kenya’s forest area was 44,130 km2 or 4,413,000 hectares.
The country is losing 50,000 hectares of forest each year through deforestation.
 
Umekula Albino Leo Asubuhi ama Hujapata?And as you fart here about Kenya your own satanic backward country is at position 95 in the same ranking.....For God knows what reasons
Leo nimeanza na supu ya nyama ya Jaluo, wale mnaowapiga risasi na kuwauwa kila mwaka wa uchaguzi
 
Own goal. The same report ranks Kenya higher than Tanzania in competitiveness. (Lower is better)
Kenya - 82
Tanzania - 95

Kenya dropped 1 points, Tanzania dropped 4 points.

In safety and hygiene, Kenya ranks higher than Tanzania. (Higher is better)
Kenya - 3.4
Tanzania - 3

In ICT, Tanzania ranks much lower than Kenya. (Higher is better)
Kenya - 3.5
Tanzania - 2.69

Also, there is no mention of cholera in the actual report.
The Nation reporter just wrote his own things.

Kwa hivyo, hio headline umeandika kwa thread, it would be more appropriate if you replaced Kenya with Tanzania.

Enda ukasome ripoti yote, wacha ubongolala.

tz.JPG


tz1.JPG
 
Own goal. The same report ranks Kenya higher than Tanzania in competitiveness. (Lower is better)
Kenya - 82
Tanzania - 95

Kenya dropped 1 points, Tanzania dropped 4 points.

In safety and hygiene, Kenya ranks higher than Tanzania. (Higher is better)
Kenya - 3.4
Tanzania - 3

In ICT, Tanzania ranks much lower than Kenya. (Higher is better)
Kenya - 3.5
Tanzania - 2.69

Also, there is no mention of cholera in the actual report.
The Nation reporter just wrote his own things.

Kwa hivyo, hio headline umeandika kwa thread, it would be more appropriate if you replaced Kenya with Tanzania.

Enda ukasome ripoti yote, wacha ubongolala.

View attachment 1205061

View attachment 1205068
Why are these deliquents even concentrating on Kenya?They should look at their low rank and find solutions to their ever poorer country.Mshew! some people.
 
Kuna msemo wa waswahili usemao kwamba " siku ya kufa nyani, miti yote huteleza". Uchumi wa Kenya umeendelea kupata taabu kutokana na matatizo lukuki. Kenya imepoteza mvuto kwa watalii kutokana na kukumbwa na kipindupindu Mara kwa Mara kwa jiji la Nairobi kunakosababishwa na uzembe wa serikali ya Kenya.

Kitu kinachoshangaza ni pale wakenya kupenda kujisifia kwamba wapo mbele sana katika ICT, kumbe ni domo tupu. Kenya ni miongoni mwa nchi zilizo nyuma sana katika mambo ya ICT kwa ujumla, kati ya nchi 140 dunia, Kenya ni namba 106, Ethiopia 101, na Tanzania 95.
Leta data kuhusu ICT. Kenya tuko top 5 Africa. Usicheze na Kenya kwenye ICT. Evidence yangu ndio hii
 
Own goal. The same report ranks Kenya higher than Tanzania in competitiveness. (Lower is better)
Kenya - 82
Tanzania - 95

Kenya dropped 1 points, Tanzania dropped 4 points.

In safety and hygiene, Kenya ranks higher than Tanzania. (Higher is better)
Kenya - 3.4
Tanzania - 3

In ICT, Tanzania ranks much lower than Kenya. (Higher is better)
Kenya - 3.5
Tanzania - 2.69

Also, there is no mention of cholera in the actual report.
The Nation reporter just wrote his own things.

Kwa hivyo, hio headline umeandika kwa thread, it would be more appropriate if you replaced Kenya with Tanzania.

Enda ukasome ripoti yote, wacha ubongolala.

View attachment 1205061

View attachment 1205068
Ulisema SI unit ya stupidity tukue tunatumia joto jiwe?
 
Leta data kuhusu ICT. Kenya tuko top 5 Africa. Usicheze na Kenya kwenye ICT. Evidence yangu ndio hii
Hii ripoti imeandikwa na mkenya, anasema pamoja na Kenya kujisifia kuhusu ICT, hasa kuhusu Silicon savanna lakini Kenya ni miongoni mwa nchi za chini kabisa duniani. Punguzeni kupenda kujisifia vitu msivyoweza kuvipata, Kenya mpo chini sana katika Technology hapa duniani
 
Hahahaha
Ulisema SI unit ya stupidity tukue tunatumia joto jiwe?
Tatizo lenu ninyi ni uwelewa mdogo, kinachozungumziwa hapa ni "trend", kwamba Kenya inashuka wakati Tanzania tunapaaa hewani. Kumbukeni Kenya iliyafanya haya wakati Tanzania ikiwa "busy" kupigana vita vya kuikomboa Africa chini ya vikwazo vya wazungu, sasa hivi tumerudi kuanza kujenga nchi, Kenya mnaporomoka, mfano ni KQ vs ATCL, tourism, manufacturing, Health delivery, food production, jobs creation, katika maeneo yote haya, Kenya inaporomoka lakini Tanzania inapanda.
 
HahahahaTatizo lenu ninyi ni uwelewa mdogo, kinachozungumziwa hapa ni "trend", kwamba Kenya inashuka wakati Tanzania tunapaaa hewani. Kumbukeni Kenya iliyafanya haya wakati Tanzania ikiwa "busy" kupigana vita vya kuikomboa Africa chini ya vikwazo vya wazungu, sasa hivi tumerudi kuanza kujenga nchi, Kenya mnaporomoka, mfano ni KQ vs ATCL, tourism, manufacturing, Health delivery, food production, jobs creation, katika maeneo yote haya, Kenya inaporomoka lakini Tanzania inapanda.
SI UNIT OF STUPIDITY = Joto la jiwe
 
Endelea kujiliwaza. You are a demonic people. That's it. Ndio hiyo mmeanza ya choka hukoo chatu
How is it possible that people with low IQ like Kenyans, who can't even fight simple things like tribalism, corruption and extra judicial killings be able to have constructive discussion?.
 
Back
Top Bottom