sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Suala la kuvaa kipindi kwa pwani ni suala la kawaida na urembo, Pwani, Tanga ni jambo la kawaida. Tatizo watu wa bara wana mtazamo finyu wa utofauti wa jamii, mtu ametoa huko anakuja anakuta watu wamevaa vipini anaona ni umalaya.
Tuelewane, siyo mtazamo sahihi.
Tuelewane, siyo mtazamo sahihi.